Hawa wasanii wa nikiwa nakata gogo hawawezi kumuelewaHebu sikiliza hizi ngoma mbili kwenye Sabufa, music system au whatever yenye Base la haja..!!
1. Vile Nataka Demu Ft. Mabantu
2. Nyumbani Ft. Wanangu 99 & Baba levo.
Hoya P.Funk karudi..!!
P.Funk arudi mazima ili aishitue kidogooo Bongo flavour..!!!
Ni P.Funk Majaniiii kwenye moja na mbili tenaaaa..!!!!
#YNWA
Kuna jamaa mke anamsumbua(ni vibinti vya 2000 hivi) ananiambia alikua anaomba ushauri kijiweni Kuna Mzee mswahili akamsikia akamwambia 'mtakoma si mmeoa videmu vya nikilewa nakua mtamu' nilicheka balaaHawa wasanii wa nikiwa nakata gogo hawawezi kumuelewa
Sidhani kama anafanya beats yeye mwenyewe, kuna madogo wako hapo. Yeye ni executive producer.Hebu sikiliza hizi ngoma mbili kwenye Sabufa, music system au whatever yenye Base la haja..!!
1. Vile Nataka Demu Ft. Mabantu
2. Nyumbani Ft. Wanangu 99 & Baba levo.
Hoya P.Funk karudi..!!
P.Funk arudi mazima ili aishitue kidogooo Bongo flavour..!!!
Ni P.Funk Majaniiii kwenye moja na mbili tenaaaa..!!!!
#YNWA
Una uhakika na unachoongea? Hebu taja beats hata mbili ambazo kwako ni mbovu.Jamaa alikuwa ana beat mbovu balaa enzi za bongo fleva ya mwanzo. Labda kwa sasa atakuwa ame improve. Atakumbana na ushindani mkali toka kwa maprodyuza wa kisasa wa kibongo
Mshamba huyo dogo, beat mbovu zilikuwa za master J 😂P Funk alikua na beat mbovu? Au sijaelewa?
Oa weweeeHebu sikiliza hizi ngoma mbili kwenye Sabufa, music system au whatever yenye Base la haja..!!
1. Vile Nataka Demu Ft. Mabantu
2. Nyumbani Ft. Wanangu 99 & Baba levo.
Hoya P.Funk karudi..!!
P.Funk arudi mazima ili aishitue kidogooo Bongo flavour..!!!
Ni P.Funk Majaniiii kwenye moja na mbili tenaaaa..!!!!
#YNWA
Nenda kwenye jukwaa la kilimo au mapishi,hujui mziki wala humjui Legendary Pfunk.Jamaa alikuwa ana beat mbovu balaa enzi za bongo fleva ya mwanzo. Labda kwa sasa atakuwa ame improve. Atakumbana na ushindani mkali toka kwa maprodyuza wa kisasa wa kibongo
Hata Mj alikua vizuri tuMshamba huyo dogo, beat mbovu zilikuwa za master J 😂
Nipe 5 Production yake Mkali P-Funk Majani.Aliye gonga biti la nipe tano ya daz baba na
Baby wajua why ya dataz ft squeezer ni nani? Mpaka leo hizo biti nazielewa sana
dahbeat mbovu zilikuwa za master J
Kipindi najifunza FL Studio ndio niliona jinsi beat za MJ zilivyo chenga.
Hujaskiliza beat za Wagosi wa Kaya album iliowatoa ile ya Ukweli mtupu.Hata Mj alikua vizuri tu
zile album si alitengeneza Prof. Ludigo ?Album ya Wagosi wa kaya ni ushahidi tosha. Beat nyeupe sana yani ni kick, snare, bass drum na piano tu with no njonjo
Kama Ludigo basi jau sana. Nilijua ni master Jzile album si alitengeneza Prof. Ludigo ?
Ludigo hakuwa vizuri kwenye instruments(hasa keyboard)Kama Ludigo basi jau sana. Nilijua ni master J