Oya Mwanenu mapenzi yanataka Kunitoa Roho

Hypochondria.
Shida hata upewe shule vipi huelewi ... Wewe was kuachwa uchapike Hadi uelewe ndio tukushauri.
 
Vijana siku hizi munafeli Sana!!

Hivi munapata Wapi huo Muda wa kutongoza hao munaowaita mademu....

Huyo demu kama umemwelewa uliza price tag inasomaje kwa siku hiyo, Unayo chukua kapige ujichane na moyo wako ufurahi.....

Hakikisha umemalizana naye kabisa, usimkope wala kumpa siasa za kujenga mahusiano....

Endelea kumtumia pale unapohitaji huduma yake, Hao mademu wamevurugwa na kitu inaitwa kikoba Sijui muchezoo....


Hapo usikute Anadaiwa rejesho kwenye kikoba Au kwenye micro-finance fulani. Kijana hii ni miezi ya Vikoba kuvunjwa , Kurenew rent n.k,Hao mademu zenu wako race kinoma!

Usijipendekeze sahizi, we Maliza hamu zako muLIPE amsha.....


Pole..!
 
Hii kitu isikie Kwa mwenzio tu, Kuna Motivational Speakers watakuambia achana nae, wanawake wako Wengi
Utamshaurije mtu aliyepo katika hali kama hiyo zaidi ya kumwambia aachane na huyo kahaba ??

Mwanamke yupo katika mitandao ya kujiuza ,utamshauri mwanaume mwenzio aendelee kujibembeleza na kujikombakomba kwake?

Hili sio suala la motivation speaker brother, ni issue ya kukaza roho kuukubali ukweli na uhalisia kuwa huyo Malaya hamfai. Kwanza amshukuru Mungu kamuepusha na mabalaa ambayo angekumbana nayo siku za usoni.

Kwa kipato chake anao uwezo wa kutafuta mwanamke atakayemfaa zaidi kuliko huyo CHUDA
 
Daaah mkuu move on Wanawake wapuuzi sana aisee. Na uking'ang'ania utapigwa tukio moja Takatifu kabisa.

Mimi niliwahi mpenda Manzi ivo ivo nika show Love la Maana lakini Guess what?? Sikuambulia Chochote zaidi ya Neno "em naomba Tuachane"

kimoyo moyo Nikajisemea Bwana Ametoa na Bwana Ametwaa Jina la Bwana lihimidiwe[emoji2][emoji2], kiukweli nilimpenda sana yule Manzi.

Lakini baada ya kunambia ivo Moyo ulizima alafu ukawa Tena. Yaani ni kama nili reboot Compyuta After Then ikawaka tena But iyo situation mkuu sio Rahisi kabisa aisee kama huna Strong Heart unaweza kuzimia.

Basi mimi nilijibu "Oh Ni sawa tu" After apo nikaderete Kumbukumbu zote kwanzia namba, Picha, messages zotee yani hadi Recycle bin sikuacha ushahidi wowote. Then Guess what?? It works now nishamsahau kabisa na life linasonga mbele.
 
One man down, ana kipi cha ziada ambacho wengine hawana?

Hiyo familiya haikufai kuoa wanakuzidi uwezo.utateseka maisha yako yote.

Ukitaka heshima ya ndoa oa familiya unayoizidi uwezo.
Wanaume wa siku hizi mnapenda show off waone una dem fulani?

Maskini yeye ana gari bado umpe ka mshahara kako aiiiiiiiiiiiiiiiiiiii pole

Mimi ningekuwa mwanaume kamwe nisingeoa kwenye familiya inayonizidi uwezo.
 

Narudia tena kwa mara ya 300 kwa faida yako na vijana wengine...

Kijana, at any time t, hakikisha una wanawake angalau WATATU wakali kwenye cycle yako ya uchakataji.

Hii tabia ya kuwa na mwanamke mmoja tu kama roho itakufanya uwe fala kwake! Utaanza kujikuta unampenda, unamuwaza mda wote, unampa hela nyingi, nk.. Mwisho mkija kuachana unajikuta kwenye maumivu makali.
 
Nyie ndo watu mlioanza kushika doh nyingi bila msoto. Wengi wenu mapenzi yanawavuruga sana.

Yani inakua kama huna shida ila unaanza kuzitafuta kwenye mahusiano, tena kwa lazima kabisa.

Hakuna kingine zaidi ya kufocus na malengo yako, pesa uliyokua unampa wekeza kwenye kitu kingine.
 
kama wewe ni mkristu sali sana.. kila mawazo ya kumrudia au kumuwaza yanapokuja sali sala ya baba yetu!
.
.
kuachana kwenye mapenzi kupo, una mshahara mzuri, ukitulia na kumpata mwanamke ambae anapaswa kuwa mke, mtafika mbali, acha kucheza na afya yako, najua unadhani utapata status flani kisa una mwanamke mzuri, wanaume hatupo hivyo, tafuta mwanamke anaejiheshim na kujitambua na naekuvutia, tuliza kichwa mwombe Mungu utampata,
.
.
kwa nyakati hizi potea kwenye mazingira yake, namba futa usiwe wa mitandaoni, baki na call na text za kawaida, fanya mazoezi, kula vizur, ukimaliza, anza kutembelea maeneo ambayo wanawake wazuri na wanaojiheshimu hupenda kwenda, Utampata!
.
.
ukimpata acha zinaa, kamtambulishe nyumbani mkae wote kama mke na mume, ujana una mengi, pole kwa yanayokusibu ila ni ya kawaida na tumeyapitia wengi, na tumevuka!
 
ubaya kashamtajia demu kiasi anacholipwa haha, akili ndo kitu alikosa anyway ajifunze
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…