Sasa Mimi sibadiliki ila naacha
Pole sana kijana... Lakini nakupa hongera KWa kufanya maamuzi ya kishujaa... Vijana sikuhizi wamezibwa masikio na macho.. ukiwaambia acheni kubeti, hizo fedha wekeni akiba mkalime au kufungua biashara ama kujaribu fursa yoyote ile tofauti na kamali... Wanasema ooh!! Hizo kejeli acha Kazi wewe uvae uhusika wetu... 😂😂 SAsa najiulizaga kukusihi wewe uache kamali ili pesa zako ufanyie JAMBO la maana inahusikaje na mimi kuniambia kuacha Kazi? Ni ujiingaa!!!Rasmi leo natundika daluga la kubeti.
Ni zaidi ya miaka kumi nabet sijaona faida yeyote zaidi nimeishia kugombna na jmaa zangu pmj na ndgu kwa ajili ya hya mambo, itoshe tu kusema betting imenirudisha sna nyuma na kunipotezea muda.
Nawaza tu kiasi nilichopteza km ingekuwa nimeweka km akiba ninahakika ningekuwa nimefny mengi tena kw ukubwa kuliko nilivyo sasa.
NakaziaMleta uzi ngoja nikurudishe mchezoni.
Kanuni ya kudumu ni 1 bet=small odd + high stake.
Fanya leo singida vs yanga: yanga to win and total goals more than 1. Odds 2.45 betpawa. Stake laki.
Kama angefanyia kazi ushauri lakj na ziada angekulaNakazia
Nashukuru mkuu..... Kifupi hili Jambo limekuwa na madhara makubwa kw kizazi hiki kuliko faida zake na dhahiri vjana hatutaki kukubali hili ila binafsi nimeamua mwenyewe tu niseme nashukuru kw nasahaPole sana kijana... Lakini nakupa hongera KWa kufanya maamuzi ya kishujaa... Vijana sikuhizi wamezibwa masikio na macho.. ukiwaambia acheni kubeti, hizo fedha wekeni akiba mkalime au kufungua biashara ama kujaribu fursa yoyote ile tofauti na kamali... Wanasema ooh!! Hizo kejeli acha Kazi wewe uvae uhusika wetu... 😂😂 SAsa najiulizaga kukusihi wewe uache kamali ili pesa zako ufanyie JAMBO la maana inahusikaje na mimi kuniambia kuacha Kazi? Ni ujiingaa!!!
SAsa naomba nikupe kisa kimoja... Kuna jamaa kwao wote wapambanaji... Kasoro yeye tu!! Ni mtu wa home.. ni mtu wa kulialia hovyo mara kusema KWa mama au baba, afu cha ajabu lina miaka 30 na zaidi.....
Kuna mwaka mama yake akastaafu Kazi. Akapokea mafao yake... Lijamaa kama kawaida yake... Likalia lia... Eti mama hinipendi..... Akaligea milioni 3. Baada ya siku 2 halina hata mia... Linaulizwa ulitaka pesa umefanya nini.. eti nimeenda kubeti nipate nyingi.. ila mkeka umechanikaaaa.... Huku linalia... Nikajisemea tu... Stupid kabisa
Sawa mkuuNO RETREAT,NO SURRENDER....hakuna hustler anatupa taulo mapema mkuu,hapo ni kubadili mbinu tu maana shida yetu unaweka timu 20 na unategemea kula 20mil kwa 200tsh huon huo ni ujuha?au pesa ya ugali wew unabet ili upate ya wali?...BET KISTAARABU
Hakika ni uraibuBiashara ya Kamari: Mbadala wa Dawa za Kulevya?
Kwa wale ambao mmeshawahi kusikia namna 'punda' wa 'sembe ya mwakyembe' wanavyo 'packiwa' mizigo ya kusafirisha mtakubaliana na mimi kwamba biashara hii 'takatifu' ina faida kubwa iliyotukuka. Ni ukweli unaosikitisha kwamba 'pipi' za 'sembe' hushindiliwa kupitia njia ya nyuma mpaka tumbo lijae...www.jamiiforums.com
Kwaheri mkuuUlianz kamar pasipo kujua mengi.
Kwaheri sana
Sie bado tunabet maana ndiyo starehe yeru.
We ukinunua malaya mm nabet
Wewe ukinywa pombe mm nabet
Kwaheri kwaheri sanaaaa
HakikaTatizo hakuna mtu anayependa kubaki na kipato cha chini ,wewe ule 3000 maisha yako yote si unapaswa kupanda juu?
Utanogewa tu uongeze dau na hapo ndo tatizo litaanzia kuliwa zaidi
Sawa mkuuHuna matumizi mabaya wala nini ..
Onesha stake yako kubwa kuloose na kuwin tuone
Anyway mtupunguzie mikosi
Mleta uzi ngoja nikurudishe mchezoni.
Kanuni ya kudumu ni 1 bet=small odd + high stake.
Fanya leo singida vs yanga: yanga to win and total goals more than 1. Odds 2.45 betpawa. Stake laki.
HakikaUmechukua uamuzi sahihi achana na akili zilizoathiriwa na majini ya kina Kanji ambao wanakukebehi. Shikilia hapo hapo Mkuu.
Mwenye ushuhuda wa mafanikio ya betting atuoneshe hapa.
Betting Ina filisi, Ina madhara, This is a fact. And a fact is opposed by another fact.
Tunaangalia possibility mkuu odds 2-3 kwa wiki kula mara 4-5 ni kawaida kabisaCjajua raia wa wp lkn pmj ni hzo odds bdo ni bahat nasibu
Weka Difaa El Jadida v HassaniaWacha nishabikie tu mpira wenyewe tu inatosha
Miaka 10,?Rasmi leo natundika daluga la kubeti.
Ni zaidi ya miaka kumi nabet sijaona faida yeyote zaidi nimeishia kugombna na jmaa zangu pmj na ndgu kwa ajili ya hya mambo, itoshe tu kusema betting imenirudisha sna nyuma na kunipotezea muda.
Nawaza tu kiasi nilichopteza km ingekuwa nimeweka km akiba ninahakika ningekuwa nimefny mengi tena kw ukubwa kuliko nilivyo sasa.
Hivi hapo najaribu kuwaza inakuwaje ghafla anapata million 800. Hivi haya maneno yatakuwapo tena? [emoji23][emoji23][emoji23]Pole sana kijana... Lakini nakupa hongera KWa kufanya maamuzi ya kishujaa... Vijana sikuhizi wamezibwa masikio na macho.. ukiwaambia acheni kubeti, hizo fedha wekeni akiba mkalime au kufungua biashara ama kujaribu fursa yoyote ile tofauti na kamali... Wanasema ooh!! Hizo kejeli acha Kazi wewe uvae uhusika wetu... [emoji23][emoji23] SAsa najiulizaga kukusihi wewe uache kamali ili pesa zako ufanyie JAMBO la maana inahusikaje na mimi kuniambia kuacha Kazi? Ni ujiingaa!!!
SAsa naomba nikupe kisa kimoja... Kuna jamaa kwao wote wapambanaji... Kasoro yeye tu!! Ni mtu wa home.. ni mtu wa kulialia hovyo mara kusema KWa mama au baba, afu cha ajabu lina miaka 30 na zaidi.....
Kuna mwaka mama yake akastaafu Kazi. Akapokea mafao yake... Lijamaa kama kawaida yake... Likalia lia... Eti mama hinipendi..... Akaligea milioni 3. Baada ya siku 2 halina hata mia... Linaulizwa ulitaka pesa umefanya nini.. eti nimeenda kubeti nipate nyingi.. ila mkeka umechanikaaaa.... Huku linalia... Nikajisemea tu... Stupid kabisa
Sawa mkuuWeka Difaa El Jadida v Hassania
draw odd 3.12
Leo hii mechi saa 5 usiku. Weka pesa kijana ule.
C kwmba ndan ya muda cjawah kula nimemuotea kanji Mara nyingi tu lkn huwa nikipima huwa naona km napiga duara tuMiaka 10,?
Bila bila?
Jitafakari!
Nakumbuka bado nikiwa pale UDOM nilikuwa nmejiwekea utaratibu wa kutenga 5000/- kila nipokeapo boom.
Nikaweka 2000=228000/-
2000 ikayeyuka.
Ikapita km miezi mi4 bila kupata.
Semister iliyofuata nikaweka 1000/-=169000/-
Tukahitimu.
Nikapata temple huko hometown,
Take home ya kwanza 250000/-,
Nikaweka 500/-for 24 matches=6,224,000/-
Nikanunua plots mbili,zipo nimeaanza ujenzi kwenye plot mojawapo.
Kuliwa kupo ila zingatia mambo kadhaa;
1. Usitegemee ku bet.
2.Matumiziyasizidi kipato.
3. Tenga kiwango cha fedha kwa ajili ya ku bet na koma tu mara baada ya kuwa kimekwisha.
4. EPUKA ku bet LIVE MATCHES kwa 7bu unalazimika kukaa betting station muda wooooooote.
5. Weka mkeka wako,nenda kafanye shughuli zingine za kukuingizia kipato.
6.EPUKA ku bet ki shaabiki.
7. Hakikisha familia KAMWE haipitii magumu kisa wewe una bet.