Tetesi: P Diddy Ameaga Mashindano, Ameleft Group

Kwamba jamaa anapapaswa uwemba!!!
 
Kumbe ni nadharia, nilitaka kudhangaa.
 
Kinachokuliza nini? Scofield anakuhusu kivipi?
 
Hakuna kitu nisichojua hapa bongo, usione watu wapo kimya. Huwa wengine hatupendi sana kufatilia au kuzungumza maisha binafsi ya watu.

Unakatwa
 
Hakuna kitu nisichojua hapa bongo, usione watu wapo kimya. Huwa wengine hatupendi sana kufatilia au kuzungumza maisha binafsi ya watu.

Unakatwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unatafutaga battle na mie, nikikufurushaa unakimbilia kwa modes, wee haya tyuuh nichokonoee nikunaweee.

Huna unalolijua wee, si ungemjua kwan baba halisi wa Zurii, mxxxieeeew
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wewe choko inapaswa tuanze kukufatilia vizuri unajishughulisha na nini, haiwezekani kila siku usiku mnene upo macho.

Tutafatilia kwa ukaribu.
 
Kumbe una sonona ya kupigiwa mke na kusaidiwa kutungishwa mimba [emoji1787][emoji1787] km kweli wewe Nick wa pili nimeacha kuwa fan wako shubhamiti kumbe unapelekewa moto
 

[emoji13][emoji13] tuamke naye asubuhi huyu chingili
 
Aisee 😲
 
Kweli,ukiona mtu anapenda habari hizi ni mshirika,wanaleta leta habari za ushoga wanataka kutufanya watu tuamini ushoga ni Jambo la kawaida mbona wengi tu wanashiriki.
 
Zamani nilijua mashoga ni wale baby face sura za kike na miili miteketeke kumbe siku hizi hata wenye misuli kama kina P didy kalio gumu kono gumu...duuuh ni bora kutoyasoma tuu haya mambo.
 
Suala ni lile lile, usipooa utaolewa.
Ni suala la muda tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…