Tetesi: P Diddy Ameaga Mashindano, Ameleft Group

Tetesi: P Diddy Ameaga Mashindano, Ameleft Group

Tayari sasa p Diddy ameshayaaga mashindano. Huwa nawaonea huruma sana wale watu ambao hupenda kujiita majina ya watu ambao ni celebrities bila kujua huyo mtu ni wa aina gani.

Kuna kipindi wale watu waliokua wanajiona wajanja sana miaka ile ya 2008-2010 walikuwa Wanapenda kujiita Scofield. Kumbe mwamba nae alishaleft group kitambo sana, ile ilikua movie tu.

Kuna siku nilikua sehemu fulani hivi nikakutana na kadada flani hivi kakawa kananiambia kanampenda sana yule msanii mdada mfupi mwanamuziki wa kutoka A Town, anasema yule ni role model wake, mara sijui mpole, mara anapenda life style yake bila kujua kuwa huyu mwanadada nae ameleft kwenye group lao kitambo sana na amekua lesbian kwa miaka mingi mno.

Muwe waangalifu mnapochagua role models, iwe wa kiume au wa kike. Poleni sana mliojiita diddy

==
Kujua ukweli wa taarifa hii soma NADHARIA - P Diddy anashiriki mapenzi ya jinsia moja
Kumbe ni nadharia, nilitaka kudhangaa.
 
Ipo na kuna tuzo nimesahau sijui ni tuzo za nini zile alikuja na jamaa stejini kabisa akawa anatoa neno then nikasikia anatamka "I want to thank my wonderful husband for the support.... " Dah nililia sana. Nenda YouTube huko kaandike Michael Scofield husband utaona mwenyewe.
Kinachokuliza nini? Scofield anakuhusu kivipi?
 
Wee DC ktk masuala ya [emoji2380] na watu wake huna cha kunambia, nawajua wengi ambao hata wee nikikutajia lazima uende Wikipedia ukawafahamu kwa mara ya kwanza.

Ndo nakuambia sasa hao Diddy na Scofield ni uongo mtupuu, huyo Scofield kujitangaza si ili awateke wengi, kwa kuwa anakubalika na ana wafuasi wengi mnoo.

Kaa kwa password. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna kitu nisichojua hapa bongo, usione watu wapo kimya. Huwa wengine hatupendi sana kufatilia au kuzungumza maisha binafsi ya watu.

Unakatwa
 
Hakuna kitu nisichojua hapa bongo, usione watu wapo kimya. Huwa wengine hatupendi sana kufatilia au kuzungumza maisha binafsi ya watu.

Unakatwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unatafutaga battle na mie, nikikufurushaa unakimbilia kwa modes, wee haya tyuuh nichokonoee nikunaweee.

Huna unalolijua wee, si ungemjua kwan baba halisi wa Zurii, mxxxieeeew
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unatafutaga battle na mie, nikikufurushaa unakimbilia kwa modes, wee haya tyuuh nichokonoee nikunaweee.

Huna unalolijua wee, si ungemjua kwan baba halisi wa Zurii, mxxxieeeew
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wewe choko inapaswa tuanze kukufatilia vizuri unajishughulisha na nini, haiwezekani kila siku usiku mnene upo macho.

Tutafatilia kwa ukaribu.
 
Kumbe una sonona ya kupigiwa mke na kusaidiwa kutungishwa mimba [emoji1787][emoji1787] km kweli wewe Nick wa pili nimeacha kuwa fan wako shubhamiti kumbe unapelekewa moto
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unatafutaga battle na mie, nikikufurushaa unakimbilia kwa modes, wee haya tyuuh nichokonoee nikunaweee.

Huna unalolijua wee, si ungemjua kwan baba halisi wa Zurii, mxxxieeeew
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

[emoji13][emoji13] tuamke naye asubuhi huyu chingili
 
Seriously?
Chakusikitisha Zaid celebrities wa America ni matransgender na mapunga..na hutuamini ukiambiwa [emoji38][emoji38]View attachment 2620916View attachment 2620920View attachment 2620918View attachment 2620919View attachment 2620915View attachment 2620917View attachment 2620921View attachment 2620922
IMG_20230430_173521.jpg
 
Wewe choko acha kukataa jambo ambalo wenyewe wanalikubali
Toka 2013 Scofield alijitangaza, Wala kwao sio shida. Aseme uongo ili iwe nini wakati huko kwao ni kawaida.

Huwa mnahisi machoko ni watu wa aina gani? Kuna msanii bongo movie yule mwenye mandevu ana jina la mnyama wenzie walimfuna anatatuliwa marinda wakawa hawaamini.
Aisee 😲
 
Usishangae ukaambiwa anaepinga ushoga nae shoga. Mm nimechoka mnoo kusikiliza kelele hizi. Juzi nimepanda daladala Tegeta-Kariakoo kapanda mtumishi wa mungu akatuhubiria. Anaesema "eti mwanaume nae anataaaakaaa mwanaume unautakaaaaaa!!! Mwanaume? Kweli unautakaaaa!" Kakomba sadaka kasepa zake. It's too overated! Waaafrika tukiganda sehem hatutoki mpaka waje 'remote contoler' kutuambia tusogee mbele kufikiria mambo mengine
Kweli,ukiona mtu anapenda habari hizi ni mshirika,wanaleta leta habari za ushoga wanataka kutufanya watu tuamini ushoga ni Jambo la kawaida mbona wengi tu wanashiriki.
 
Zamani nilijua mashoga ni wale baby face sura za kike na miili miteketeke kumbe siku hizi hata wenye misuli kama kina P didy kalio gumu kono gumu...duuuh ni bora kutoyasoma tuu haya mambo.
 
team kataa ndoa sio watu walio left group bali ni watu ambao walio sanukia huu utapeli unao itwa ndoa na hizo janja janja za wanawake. Sisi kuwagonga tutawagonga sana na kuwazalisha tutawazalisha sana acha tu muwe masingle maza mtajua wenyewe.

Hatuna huruma na wanawake. Na kubwa zaidi hatuwaoi na kwa hizo janja janja zenu mtatukubali trip hii.
Suala ni lile lile, usipooa utaolewa.
Ni suala la muda tu
 
Back
Top Bottom