impongo
JF-Expert Member
- Feb 18, 2015
- 8,764
- 7,758
Wewe dada una nini lakini mbavu zangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]51 uwe na stress ya kodi kwenye chumba na sebule unaonekana 71.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe dada una nini lakini mbavu zangu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]51 uwe na stress ya kodi kwenye chumba na sebule unaonekana 71.
Hapo kama ni mvuta sigara za kawaida au ile bwege unatafuta kivuli unatulia unavuta taratibu ka maisha umeyapatiaumenichekesha sana mkuu...siku ukiwa njema unaingezea na mtindi basi burudani.
[emoji23][emoji23]Mbna wanaonekana kama wanatokea ngudu[emoji4]
Sasa hivi ataitwa babu.View attachment 1913876
Mabinti hawa wamekaribishwa katika event ya siku tatu ya Dolce and Gabanna na baba yao ameamua kuwapeleka. Hawa wawili wa nyuma ni mapacha na yule wa mbele ni mkubwa kwa mapacha na mama yake ni mwingine.
Wa mbele ni Chance ana miaka 15, Mapacha ni Dalilah na Jessie James miaka 14.
Aliyetangulia nimemwelewaView attachment 1913876
Mabinti hawa wamekaribishwa katika event ya siku tatu ya Dolce and Gabanna na baba yao ameamua kuwapeleka. Hawa wawili wa nyuma ni mapacha na yule wa mbele ni mkubwa kwa mapacha na mama yake ni mwingine.
Wa mbele ni Chance ana miaka 15, Mapacha ni Dalilah na Jessie James miaka 14.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yaani wakati nasoma kwamba hao watoto wawili ni mapacha na huyo wa mbele ni wa mama mwingine nikataka kuuliza kwamba ina maana hao mapacha ni wa mama mmoja dah jamani tozo zina tuchanganya. Nimebaki najicheka mwenyewe tu.
DahView attachment 1913876
Mabinti hawa wamekaribishwa katika event ya siku tatu ya Dolce and Gabanna na baba yao ameamua kuwapeleka. Hawa wawili wa nyuma ni mapacha na yule wa mbele ni mkubwa kwa mapacha na mama yake ni mwingine.
Wa mbele ni Chance ana miaka 15, Mapacha ni Dalilah na Jessie James miaka 14.
Na mwili pia una play part kubwa.51 uwe na stress ya kodi kwenye chumba na sebule unaonekana 71.
Birthday yake ni November 4 ndio atatimiza 52Diddy ametimiza miaka 51 mwaka huu.
Noma sanaNa mwili pia una play part kubwa.
Wayne Roone ni tajiri lakini amezeeoa kabla ya umri wake.
Yaani Roone ni mzee kuliko CR7 wakati Ronaldo ni mzée kwake.
51 anaonekana kijana kabisa kuliko Mimi na 35 yangu!aaaah kweli pesa sabuni ya roho.Diddy ametimiza miaka 51 mwaka huu.
Mitoto ya kizungu inakuwa na umri mdogo ili miili mikubwa sa we jichanganye kula kimasihara uone