mkudugwa
JF-Expert Member
- Jul 20, 2015
- 226
- 221
[emoji23] [emoji23] [emoji23]😀 😀 😀 bado hujasikia kauli za viongozi wakisema Wananchi wamekubali Tozo. Lazima uchoke
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23] [emoji23] [emoji23]😀 😀 😀 bado hujasikia kauli za viongozi wakisema Wananchi wamekubali Tozo. Lazima uchoke
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Kwa maisha yetu haya ugali mkubwa na dagaa mchele wa jelo maji ya kunywa kwenye jagi [emoji1787][emoji1787] unazeeka haraka sana
Likuwa anapiga huku na huku huyu mwamba, ila namkubali tajiri halafu anazaa, sio bill gates tajiri vitoto sijui viwili tuView attachment 1913876
Mabinti hawa wamekaribishwa katika event ya siku tatu ya Dolce and Gabanna na baba yao ameamua kuwapeleka. Hawa wawili wa nyuma ni mapacha na yule wa mbele ni mkubwa kwa mapacha na mama yake ni mwingine.
Wa mbele ni Chance ana miaka 15, Mapacha ni Dalilah na Jessie James miaka 14.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji119][emoji119]Yaani wakati nasoma kwamba hao watoto wawili ni mapacha na huyo wa mbele ni wa mama mwingine nikataka kuuliza kwamba ina maana hao mapacha ni wa mama mmoja dah jamani tozo zina tuchanganya. Nimebaki najicheka mwenyewe tu.
😆 😆 😆 😆 😆 kabisa yani51 uwe na stress ya kodi kwenye chumba na sebule unaonekana 71.
😂😂😂😂mzee hivi NGUDU ni nini?Mbna wanaonekana kama wanatokea ngudu😊
Huyo wa mbele kama mbongo fulaniView attachment 1913876
Mabinti hawa wamekaribishwa katika event ya siku tatu ya Dolce and Gabana na baba yao ameamua kuwapeleka. Hawa wawili wa nyuma ni mapacha na yule wa mbele ni mkubwa kwa mapacha na mama yake ni mwingine.
Wa mbele ni Chance ana miaka 15, Mapacha ni Dalilah na Jessie James miaka 14.
Jlo alirudiana na Ben AfflexPenzi naona limenoga kwa Ben Afflex
View attachment 1913876
Mabinti hawa wamekaribishwa katika event ya siku tatu ya Dolce and Gabana na baba yao ameamua kuwapeleka. Hawa wawili wa nyuma ni mapacha na yule wa mbele ni mkubwa kwa mapacha na mama yake ni mwingine.
Wa mbele ni Chance ana miaka 15, Mapacha ni Dalilah na Jessie James miaka 14.
😀 😀 😀 bado hujasikia kauli za viongozi wakisema Wananchi wamekubali Tozo. Lazima uchoke
Wamevaa magauni ya sikukuu! Safi saana