P Diddy na mabinti zake watatu wakiwa kwenye Venice

P Diddy na mabinti zake watatu wakiwa kwenye Venice

A
View attachment 1913876
Mabinti hawa wamekaribishwa katika event ya siku tatu ya Dolce and Gabanna na baba yao ameamua kuwapeleka. Hawa wawili wa nyuma ni mapacha na yule wa mbele ni mkubwa kwa mapacha na mama yake ni mwingine.

Wa mbele ni Chance ana miaka 15, Mapacha ni Dalilah na Jessie James miaka 14.
Likuwa anapiga huku na huku huyu mwamba, ila namkubali tajiri halafu anazaa, sio bill gates tajiri vitoto sijui viwili tu
 
Yaani wakati nasoma kwamba hao watoto wawili ni mapacha na huyo wa mbele ni wa mama mwingine nikataka kuuliza kwamba ina maana hao mapacha ni wa mama mmoja dah jamani tozo zina tuchanganya. Nimebaki najicheka mwenyewe tu.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji119][emoji119]
 
View attachment 1913876
Mabinti hawa wamekaribishwa katika event ya siku tatu ya Dolce and Gabana na baba yao ameamua kuwapeleka. Hawa wawili wa nyuma ni mapacha na yule wa mbele ni mkubwa kwa mapacha na mama yake ni mwingine.

Wa mbele ni Chance ana miaka 15, Mapacha ni Dalilah na Jessie James miaka 14.
Huyo wa mbele kama mbongo fulani
 
Flat Kama Wachagga
View attachment 1913876
Mabinti hawa wamekaribishwa katika event ya siku tatu ya Dolce and Gabana na baba yao ameamua kuwapeleka. Hawa wawili wa nyuma ni mapacha na yule wa mbele ni mkubwa kwa mapacha na mama yake ni mwingine.

Wa mbele ni Chance ana miaka 15, Mapacha ni Dalilah na Jessie James miaka 14.
 
Ughaibuni watu wana miili mikubwa mno,
Utadhani wako Kwenye Miaka 20-25s
 
Sean combs hazeeki tangumwaka 92 kipindi kile mimi ni kijana mdogo kabisa alikuwa anaroll na kina Christopher Wallace enzi hizo kina Jigga walikuwa wadogo kabisa na machawa wake maana mhuni kaanza kushika hela kitambo sana aisee so vijana waliokuwa underground wa Hiphop walimganda sana awasainishe BADBOYS ENTERTAINMENT baada ya kuona mafanikio ya Biggie small..hii pic alipost recently
FB_IMG_1619637040127.jpg
 
Back
Top Bottom