P Diddy na mabinti zake watatu wakiwa kwenye Venice

Venice ni sehemu na ipo Italy, floating city mtoa maada nitoe ushamba
 
Yaani wakati nasoma kwamba hao watoto wawili ni mapacha na huyo wa mbele ni wa mama mwingine nikataka kuuliza kwamba ina maana hao mapacha ni wa mama mmoja dah jamani tozo zina tuchanganya. Nimebaki najicheka mwenyewe tu.
😄😄🤣🤣😂😂
 
Jamaa ana mawazo sana kuhusu hao mabinti wakianza kupelekewa moto atahama dunia😂😂🤣.
Mi binti yangu tumeelewana tu na visenti vyetu tule bata.
Akihonga huko Vimario mi ntasindikizana navyo mpaka kituoni
 
Nimejaribu kuangalia kwa umakini huyo binti wa katikati naona kama binti kavaa kiatu over size!!!?
Mkiatu kama wa Manzese!!!
 
Yaani wakati nasoma kwamba hao watoto wawili ni mapacha na huyo wa mbele ni wa mama mwingine nikataka kuuliza kwamba ina maana hao mapacha ni wa mama mmoja dah jamani tozo zina tuchanganya. Nimebaki najicheka mwenyewe tu.
Wewe ni wa kuombewa na gwaji boy.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…