P. Diddy ni mwamba fulani hivi safi mbele ya Camera ila nyuma ya Pazia ni mafia

P. Diddy ni mwamba fulani hivi safi mbele ya Camera ila nyuma ya Pazia ni mafia

Beef lao lilianza pale Mase aliyekuwa record label ya Bad Boy chini ya CEO Diddy alipotaka ajiunge G-Unit, kipindi hicho G-Unit inatikisa duniani.

Ila Diddy alikataa kumtoa Mase kwa kutumia mikataba yake na Mase. Deal likawa limeshindikana 50 Cent akawa amemaindi sana.

Mwaka 2005 Mase akaonekana kwenye video ya 50 Cent ya window shopper. Hapa Diddy alikasirishwa sana na kitendo hicho aliona kama amedharauliwa.

Hawajakaa vizuri 50 Cent akatoa diss track mwaka 2006 iliyoitwa The Bomb ambapo alimdiss Diddy kuwa ndiye anayejua nani alimuua Notorious BIG. Ukitaka ugombane na Diddy mtaje kuhusiana na kifo cha BIG

Beef lao limeendelea mpaka leo. Jana 50 Cent alikuwa anamponda sana Diddy baada ya maaskari kwenda kufanya uchunguzi kwenye mjengo wake wa Miami
Mase sijui kama alitoka salama
images (2).jpeg
 
Mbona jamii forum kama mnasupport sana nyuzi za ushoga ,huzi kama huu inabidi ufutwe humu kuna vijana under 18 mtu akisoma hivi vitu tunatengeneza kizazi cha kuona kutatuliwa Melinda ni jambo la kawaida
Ufutwe alafu sisi tusome nini?
 
Kwa usher ni kwel, hao wengne sina uhakika, hata mama yake usher alishawai sema ktu ambacho atajuta mpaka kufa kwake ni kumruhusu mtoto wake kuishi na diddy, ndo maana usher pia alishasema alifanya juu chni kuhakikisha justin bieber hapitii yale aliyopitia maana naye alikuwa anamendewa sana na diddy.
Aisee hii dunia kuna watu wanavipaji...Just imagine mimi home Wife kaleta House girl mkali kinoma naogopa ata kumtongoza ila Didy anaweza mtongoza ata SnoopDogy kweli?
 
Aisee hii dunia kuna watu wanavipaji...Just imagine mimi home Wife kaleta House girl mkali kinoma naogopa ata kumtongoza ila Didy anaweza mtongoza ata SnoopDogy kweli?
kwa snoopy hata mm sikubali ila usher kaliwa sana tu, hata mama yake alikiri diddy kumwaribu mtoto wake. Ila mkuu hii dunia ina mambo nyuma ya pazia.
 
kwa snoopy hata mm sikubali ila usher kaliwa sana tu, hata mama yake alikiri diddy kumwaribu mtoto wake. Ila mkuu hii dunia ina mambo nyuma ya pazia.
Hapana jamaa ni mtaratibu sana ata kwenye uuimbaji wake unamuona hatumii nguvu...Swala la kusema anabandua wanaume wenzie napingana nalo kabsaa,Yaani mtu kama the Rocky.
 
Hapana jamaa ni mtaratibu sana ata kwenye uuimbaji wake unamuona hatumii nguvu...Swala la kusema anabandua wanaume wenzie napingana nalo kabsaa,Yaani mtu kama the Rocky.
endelea kuamini hvo ila ukipata wasaa muulize mondi alichofanywa na diddy
 
P didy ni mpuuz unaambiwa hadi snoop na 50 cent kawafumua marinda.

Ila binadamu. Yani Diddy anamtani kumtongoza snoop hadi snoop anakubali kabisa tena kwa hiari kutatuliwa?

Wazungu ni waongo na wabaguzi sana.
Sio kweli hao watu wawili hawawezi kuhusika na huo upuuzi mzee.
 
Back
Top Bottom