The Loyalty King
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 1,298
- 2,124
Hajui huyoSasa unadhan Didy anasingiziwa?police wasingemfatilia hasingiziwi
Hata dudu anasema ukweli ndio 85%
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hajui huyoSasa unadhan Didy anasingiziwa?police wasingemfatilia hasingiziwi
Hata dudu anasema ukweli ndio 85%
Sijui aisee inawezekana hata aliliwa maana aliporudi bongo alikuwa anavaa vikuku mguuniSo Diamond Platinum alimla Diddy
Ms*nge baridi kwa maana nyingine anakula na kuliwaAnaliwa na kuwala..Bisexual
Kuna interviews za aliyekuwa bodyguard wake anaeleza mambo ya ajabu aliyoyaona kwa pdiddy wakati anaingia katika exotic shops. Alikuwa akinunua vilainishi vingi,dildos na butt plugs.
Sasa mtoto wa kiume kweli ununue buttplugs? Pia kwenye klabu alizokuwa akienda kulikuwa kukifanyika sana vitendo vya ushoga.
50cents alishasema siku nyingi kuwa Diddy ni shoga
Kawa diddylized mabinti wengi sana, sijui kwanini legends wengi waliangukia huu uraibu.Kafanyaje tena ,? Ila binaadamu sio kiumbe wa kumlia dhamana kwa maana hakuna aliye msafi
Huyu kafuta mpaka tweet zake na P. DiddyIna maana hata Burnaboy nae alikatwa na Ali msomali
Duh naona nae usher Raymond nae anafuta tweet hadi Taylor swift 🤣😁😁Huyu kafuta mpaka tweet zake na P. Diddy
Taylor Swift walipiga picha hadi kitandaniDuh naona nae usher Raymond nae anafuta tweet hadi Taylor swift 🤣😁😁
Sasa huo ni uongo kaabisaP didy ni mpuuz unaambiwa hadi snoop na 50 cent kawafumua marinda.
Ila binadamu. Yani Diddy anamtani kumtongoza snoop hadi snoop anakubali kabisa tena kwa hiari kutatuliwa?
Wazungu ni waongo na wabaguzi sana.
Duh basi aliliwa tamu yakeTaylor Swift walipiga picha hadi kitandani
50 cent alishikwa tako akamkosa ngumi kali,ikawa mwisho wa urafiki waoP didy ni mpuuz unaambiwa hadi snoop na 50 cent kawafumua marinda.
Ila binadamu. Yani Diddy anamtani kumtongoza snoop hadi snoop anakubali kabisa tena kwa hiari kutatuliwa?
Wazungu ni waongo na wabaguzi sana.
Realy??Duh naona nae usher Raymond nae anafuta tweet hadi Taylor swift 🤣😁😁
Oyaaaa😄😄😄Huyu kafuta mpaka tweet zake na P. Diddy
Ugonjwa wa wengi huoKawa diddylized mabinti wengi sana, sijui kwanini legends wengi waliangukia huu uraibu.
Ulimtembeleaga nini bossP Diddy namkubali sana, ndiyo mwanamuziki ninayemkubali duniani since miaka ya 90 huko alivyokuwa anapiga kazi na Mase.
Ila jamaa nyuma ya kamera ni mafia kupita kawaida. Unaambiwa ni Mafia kuliko hata unavyofikiria. Alisimamia mchongo mzima wa kumuondia Tupac, watu wakaenda mbali na kusema jamaa alishiriki kummaliza hata BIG kwa kiwa alitaka kuwa peke yake kwenye lebel ya Bad Boyz. Akajua Faith Evance kwake si tatizo lolote, atajua kuishi naye kuliko BIG.
Halafu mambo anayozungumziwa kuwaingilia kinyume na maumbile wanaume wenzake yanashamiri sana, mchungaji TD Jakes na Jamie Foxx wanaweza kutuambia zaidi kwenye hili.
Ukizunguana na P Diddy, sahau kuwa nominated na tuzo za Grammy, mwamba ana maubabe yake kishenzi.
Ila dunia ni hiihii, kuwa mafia ujuavyo, end of the day utakuja kulipa hapahapa duniani.
Karma is a B*itch.