P. Diddy parties explained!

P. Diddy parties explained!

Jay Z kuna msemo wake naupenda anasema hivi

"'Don't follow trend becouse trend is not you and is house of sand"

Tangia sakata la P Didy limeanza sijapoteza bando kufatilia wala kujua chochote.

Najua Kama hana hatia ataachiliwa na Kama anayo atafungwa

Is all about shit watu kujifanya wanayajua Sana maisha ya P Ddidy kuliko hata closed friend kama akina Jay Z n.k
Kwa hio ile party ulikua ufunguzi wa mafuta mapya ya pdidy kutoka kiwanda chake kipya au?
 

Attachments

  • criadormaloka-cor-1711518657302.jpeg
    criadormaloka-cor-1711518657302.jpeg
    74.3 KB · Views: 4
Nimeona hii thread niianzishie huku kwa sababu, Diddy alikutwa na mafuta, tofauti na hapo hii mada ilitakiwa niiposti jukwaa la intelligence. Msikilize huyu mshua alivyozichambua shutuma za Diddy.

Jamani ndugu zanguni, tujitahidi tupate utajiri mapema, zama zijazo maisha yatakua magumu sana.
(digital currency inakuja kurudisha utumwa katika namna yake)

Humu ndani ya video huyu mshua amezungumzia kuhusu watu kuwa maarufu wakati hawana cha maana wanachokifanya mpaka kiwape huo umaarufu yeye kawatolea mfano familia ya kina kadashian(hata bongo wapo wengi tu)

Pia amezungumzia Elon musk kutajirika from no where. Andrew tate (top G mwenyewe) amezungumziwa pia

ONYO: VIDEO IKO YOUTUBE. Kama Huna bando pita hivi. Kama kiingereza kinakupiga chenga pita hivi 👋

Kama wewe ni mvivu mvivu kusikiliza podcast ndefu pita hivi👋 ukaibukie tikitok huko ndio kuna video mpaka za sekunde mbili(slavery mind)


Pia soma: P. Diddy na kesi ya unyanyasaji wa Kingono
Nyau wewe unasimanga watu kama vile umezaliwa Ulaya kumbe kamjambeni tu...fwaalari kabisa🤣
 
Huyu jamaa kama mbongo tu! Kwamba kupata mafanikio lazima kila mtu apitie pattern ambazo yeye anazijua sio?(sio kweli tumeona watu wakizifata na hakuna kitu wamepata)

Amekuwa na mtazamo wa kizamani sana.Sio lazima upitie hustling au hizo pattern ndio ufike.Remember!success has nothing to do with how much effort you put on something or time you spent on it but other factors may play a role(lucky,chance and list goes on)

Kuhusu didy and washirika wake alichosema ni maoni binafsi ambayo hayana solid evidence(watu wanachojua ni kwamba jamaa kakamatwa na anakesi ya kujibu).

Kuhusu immorality,I think everyone has evil side sema tu hakuna anayetujua.I've seen blacks enslaving blacks,whites do the same,so do arabs and other races.Kwahiyo sioni point ya msingi hapa zaidi ya kutoa maoni binafsi ambayo unaweza kuyachukua au kupuuza kabisa
 
Back
Top Bottom