zerominus10
JF-Expert Member
- Aug 25, 2022
- 8,142
- 13,721
Kwa hio ile party ulikua ufunguzi wa mafuta mapya ya pdidy kutoka kiwanda chake kipya au?Jay Z kuna msemo wake naupenda anasema hivi
"'Don't follow trend becouse trend is not you and is house of sand"
Tangia sakata la P Didy limeanza sijapoteza bando kufatilia wala kujua chochote.
Najua Kama hana hatia ataachiliwa na Kama anayo atafungwa
Is all about shit watu kujifanya wanayajua Sana maisha ya P Ddidy kuliko hata closed friend kama akina Jay Z n.k
Yeah hivi huu uvumi wa kufungua kiwanda cha mafuta ni kweli au uzushi? Nimeona pahalaP Diddy mzee wa futa😂
Na wewe pia ni mdau wa pdidy?Acheni kutoa povu
Kwa hio ile party ulikua ufunguzi wa mafuta mapya ya pdidy kutoka kiwanda chake kipya au?
Ndioo ila mie nipo kwenye sekta yakushikia miguu atrombee vizuri kama ni wakaka awatanue vizuri vitako vyao hadi kielewekeNa wewe pia ni mdau wa pdidy?
Nyau wewe unasimanga watu kama vile umezaliwa Ulaya kumbe kamjambeni tu...fwaalari kabisa🤣Nimeona hii thread niianzishie huku kwa sababu, Diddy alikutwa na mafuta, tofauti na hapo hii mada ilitakiwa niiposti jukwaa la intelligence. Msikilize huyu mshua alivyozichambua shutuma za Diddy.
Jamani ndugu zanguni, tujitahidi tupate utajiri mapema, zama zijazo maisha yatakua magumu sana.
(digital currency inakuja kurudisha utumwa katika namna yake)
Humu ndani ya video huyu mshua amezungumzia kuhusu watu kuwa maarufu wakati hawana cha maana wanachokifanya mpaka kiwape huo umaarufu yeye kawatolea mfano familia ya kina kadashian(hata bongo wapo wengi tu)
Pia amezungumzia Elon musk kutajirika from no where. Andrew tate (top G mwenyewe) amezungumziwa pia
ONYO: VIDEO IKO YOUTUBE. Kama Huna bando pita hivi. Kama kiingereza kinakupiga chenga pita hivi 👋
Kama wewe ni mvivu mvivu kusikiliza podcast ndefu pita hivi👋 ukaibukie tikitok huko ndio kuna video mpaka za sekunde mbili(slavery mind)
Pia soma: P. Diddy na kesi ya unyanyasaji wa Kingono
You never miss the LUCKY DAY, if you TRY EVERY DAY mr Seth saint 🙏 .Amekuwa na mtazamo wa kizamani sana.Sio lazima upitie hustling au hizo pattern ndio ufike.Remember!success has nothing to do with how much effort you put on something or time you spent on it but other factors may play a role(lucky,chance and list goes on)