P Funk achangia mil.5 kusafirisha mwili wa Mangwea

P Funk achangia mil.5 kusafirisha mwili wa Mangwea

Ha ha ha ha mkuu figganiga njo huku tuliendeleze sebene.
Mkuu mbona kama tulikuwa wote kule......kinywele kamwambia yule kijana waache uchocolate.
Ndo akachezea jamaa....!

Hhaahahah!mkuu kule sijamsoma Mod,ndo ikabidi nikusake huku!

Dah naamini majan katoa kichapo cha ukweli! Sasa mbona kamuacha na yule mwenzie?si angetandika wote tu?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Hhaahahah!mkuu kule sijamsoma Mod,ndo ikabidi nikusake huku!

Dah naamini majan katoa kichapo cha ukweli! Sasa mbona kamuacha na yule mwenzie?si angetandika wote tu?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Bas dogo kajipendekeza kala kubwa.....!
Hiyo ni sms kwao,akijipendekeza mwingine anakula kubwa mpaka apasuke.
Ila huu ni wakati mgumu inabidi tuvumiliane.Maana sio mchezo.
 
Bas dogo kajipendekeza kala kubwa.....!
Hiyo ni sms kwao,akijipendekeza mwingine anakula kubwa mpaka apasuke.
Ila huu ni wakati mgumu inabidi tuvumiliane.Maana sio mchezo.

Me m2 ataempa kubwa yule mjua yote "kibonde" naweza nikamchangia hela

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Ha ha ha ha mkuu figganiga njo huku tuliendeleze sebene.
Mkuu mbona kama tulikuwa wote kule......kinywele kamwambia yule kijana waache uchocolate.
Ndo akachezea jamaa....!

hahahaaa...!!! baba joniii kambetulia midomo kinywele, kinywele akasema usintanie. kuna ile gym ipa pale kituo cha mafuta maeneo ya sayansi nenda kesho asubuhi funk atakupa full story. Wameomba apige picha ili kuficha soo. haaahaa..!! mwenzio naogopa ban. ntafunguka kesho hasira za mod zikiisha. mia
 
Ha ha ha ha mkuu figganiga njo huku tuliendeleze sebene.
Mkuu mbona kama tulikuwa wote kule......kinywele kamwambia yule kijana waache uchocolate.
Ndo akachezea jamaa....!


Me napenda courage na misimamo yako tu,unapishana kidogoo na Lara moko!!!!
 
hahahaaa...!!! baba joniii kambetulia midomo kinywele, kinywele akasema usintanie. kuna ile gym ipa pale kituo cha mafuta maeneo ya sayansi nenda kesho asubuhi funk atakupa full story. Wameomba apige picha ili kuficha soo. haaahaa..!! mwenzio naogopa ban. ntafunguka kesho hasira za mod zikiisha. mia

Teh teh teh.....me ndo maana nimekuita huku.
Mwenyewe naogopa kbs!
Maana hasira zikitushukia si itakuwa balaa coz mambo bado mpk j2.
Tutaona mengi.
 
hahahaaa...!!! baba joniii kambetulia midomo kinywele, kinywele akasema usintanie. kuna ile gym ipa pale kituo cha mafuta maeneo ya sayansi nenda kesho asubuhi funk atakupa full story. Wameomba apige picha ili kuficha soo. haaahaa..!! mwenzio naogopa ban. ntafunguka kesho hasira za mod zikiisha. mia
funguka arifu.....mods wako maisha club wanakula bata.....
 
Ni kweli kabisa Bongo Records wamechangia 5million lakini sio kwa ajiri ya kusafirisha mwili bali ni mchango wa kufanikisha mazishi. Jukumu la kusafirisha mwili limechukuliwa na Clouds Media ambao wamehaidi kulipia gharama zote za usafiri.

Clouds wamezipata wapi kama sio zile zile za wasanii akiwemo Ngwair (R.I.P)?
 
majani jeshi la mtu moja mama yake ndio haemi kwake ila kwa waruga ruga wengine lazima wakae hiyo ni mwanzo tu watakaa sana chezea mtoto wa kidachi.
 
Clouds wamezipata wapi kama sio zile zile za wasanii akiwemo Ngwair (R.I.P)?

Kwani hiyo pesa haitoshi kumsafirisha?
Au lazima wao clouds ndo waonekane wamemsafirisha.
Sio wao waliReport kuwa hali imekuwa ngumu
Kifedha?
Au ndo walikuwa wanajisafishia njia

Wanachofanya Clouds ni kuzima mato ambao unawawakia kwasasa, hivyo lazima wachukue jukumu ambalo itakua sio rahisi kusahaulika hivyo wameona wakibeba mwili ni mchango mkubwa kwao.
 
Clouds wataendelea kua machokolet tu hasa chokolet kibonde, chokolet jerad hando, chokolet adam mchomvu, chokolet b12 na lichokolet likubwa la kuliwa harusini li big bogus bos ruge.
 
Clouds wataendelea kua machokolet tu hasa chokolet kibonde, chokolet jerad hando, chokolet adam mchomvu, chokolet b12 na lichokolet likubwa la kuliwa harusini li big bogus bos ruge.

Uchocolate haukubaliki msibani.....!
Mtu akiona makamanda wamekaa alafu anashoboka atachezea ilBoro.
 
Watu mna maneno..... Uchocolate tena

Mkuu huo Ni Msamiati Mpya wa Miss Strong...kwa taarifa Zaidi Mtafute Mchomvu ndio Chocolate mwenyewe sema alikosea akauleta mpaka msibani....akala za Uso
 
Big up muasis wa kweli wa bongo flavor

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Na safi sana kwa kumtuliza mchomvu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom