P Funk achangia mil.5 kusafirisha mwili wa Mangwea

P Funk achangia mil.5 kusafirisha mwili wa Mangwea

Mkuu huo Ni Msamiati Mpya wa Miss Strong...kwa taarifa Zaidi Mtafute Mchomvu ndio Chocolate mwenyewe sema alikosea akauleta mpaka msibani....akala za Uso

Ha ha ha ha.........watachezea mwaka huu wakijipendekeza mpaka watajuta.
Tutawapasua Mfumo.....chezea wanaume.
 
Ha ha ha ha.........watachezea mwaka huu wakijipendekeza mpaka watajuta.
Tutawapasua Mfumo.....chezea wanaume.

P-Funk habari nyingine Waliberali wanataka umaarufu msibani hata hilo ombi la kusafirisha mwili lingekataliwa tu

Washadhulumu sana alafu wanakuja kutoa 4mil ni kitu gani?!

Wamekula hela ngapi ya Ngwea hawa machocolate?,wamekula hela ngapi ya wasanii hapa Bongo?

Hawaitajiki hata kwa mbali kwenye msiba au ndo wanataka wachukue video watafute na wadhamini wakauze kwenye ile Tv yao ya Machocolate?!
 
P-Funk habari nyingine Waliberali wanataka umaarufu msibani hata hilo ombi la kusafirisha mwili lingekataliwa tu

Washadhulumu sana alafu wanakuja kutoa 4mil ni kitu gani?!

Wamekula hela ngapi ya Ngwea hawa machocolate?,wamekula hela ngapi ya wasanii hapa Bongo?

Hawaitajiki hata kwa mbali kwenye msiba au ndo wanataka wachukue video watafute na wadhamini wakauze kwenye ile Tv yao ya Machocolate?!

Achana nao mapisholi....!
Tumewashitukia siku nyingi.....,mifumo imewalegea ndo maana wanazingua.
 
Nimemsikia kwenye planet bongo ya EA radio,anasema the guy went into drugs,walipata kumwuliza uliza akawa anadeny... But anaregret hawakufanya zaidi ya hapo,like kuongea na ndugu zake na vitu kama hivyo. Anasema album ya A.K.A. Mimi ilipata kuwa the best album in market. Lakini hakupata mafanikio kama ya wengine kama Juma Nature,na wengine.. P Funk amefikia hatua ya kusema kuwa Ngwair alikuwa akitumika kama ng'ombe wao,wanamkamua wanavyotaka.. Akadai alichokuwa akifanya hakikuwa kinamlipa kama nguvu,kipaji na mtaji alivyowekeza. Akasema hayo yalimlead to depression. Na akaongeza kuwa ye mwenyewe amewahi kuwa katika depression na ingawa hakuwahi kutumia aina ya vilevi alivyyokuwa akitumia marehemu,lakini anaifahamu hiyo hali.
P. Funk ametoa kiasi cha Tsh.5m kusafirisha mwili wa Mangwea toka South mpaka Dar ilikuwa inatakiwa Tsh.4m na ushee.
 
sasa hivi ADAM nasikia anasema kama kuna mtu amekukosea au kama nimemkosea mtu tunasameana UNAPIGWA ADI UNAMWOMBA ALIEKUPIGA MSAMAHA DUH chezea P. PAUL MZIKI MWINGINE ULE JAMAA MKOROFI NA MBABE ALIWAHI KUWATANDIKA WATOTO WALIMTUSI KWA KWA LUGHA YA KIDUTCH PALE AMSTERDAM WAKATI BADO ANASOMA CHUO ADI AKAWEKWA LUPANGO KWA MASAA AKATOLEWA NA AUNT YAKE CHEZEA PAUL WEWE WENGI VIEREERE WATAKAA TU.
 
P-Funk habari nyingine Waliberali wanataka umaarufu msibani hata hilo ombi la kusafirisha mwili lingekataliwa tu

Washadhulumu sana alafu wanakuja kutoa 4mil ni kitu gani?!

Wamekula hela ngapi ya Ngwea hawa machocolate?,wamekula hela ngapi ya wasanii hapa Bongo?

Hawaitajiki hata kwa mbali kwenye msiba au ndo wanataka wachukue video watafute na wadhamini wakauze kwenye ile Tv yao ya Machocolate?!

Hivi wewe ni mwanamme? Kama ni mwanamme unavyomwogopa huyo majani lazima akikuomba umlambe koni utakubali maana ukikataa anaweza akatishia kukupiga na wewe kupigana naye huwezi!

Unatia aibu.
 
Hivi wewe ni mwanamme? Kama ni mwanamme unavyomwogopa huyo majani lazima akikuomba umlambe koni utakubali maana ukikataa anaweza akatishia kukupiga na wewe kupigana naye huwezi!

Unatia aibu.

hacha kutukana wewe mliberali mkubwa jana mwenzako kala ban ukiendelea nampm invisible mda huu.
 
hacha kutukana wewe mliberali mkubwa jana mwenzako kala ban ukiendelea nampm invisible mda huu.

Kwa vile uko mjinga kupindukia hii ndo itakuwa posting yangu ya mwisho kukujibu mjinga kama wewe maana ungekuwa mwerevu wala usingesema mwenzangu sijui nini nini. Endelea kuelea kwenye ujinga. I'm done with you.
 
Naona majibu ya shombo yameanza......!
Jana tumekimbizana kule ss naona huku tena linaanza.
Tuwe wavumilivu kidogo
 
Kwa vile uko mjinga kupindukia hii ndo itakuwa posting yangu ya mwisho kukujibu mjinga kama wewe maana ungekuwa mwerevu wala usingesema mwenzangu sijui nini nini. Endelea kuelea kwenye ujinga. I'm done with you.

mi siogopi mkuu ntacheza nawewe vizuri sana
 
big up pfunk.admire bro.Mungu atakurudshia zaid ya ulchotoa.
 
Pumbavu zao!..

Baada ya kumkamuaa bila kumlisha hata majani sasa hivi ndiyo wanajikosha shit!..

Yaani wafu Fm ni janga la taifa,eti wakaanda maandamano ya kupinga unyonyaji wa kazi za wasanii wakati wao ndiyo

wanyonyaji namba moja shit!...

Ni kweli kabisa Bongo Records wamechangia 5million lakini sio kwa ajiri ya kusafirisha mwili bali ni mchango wa kufanikisha mazishi. Jukumu la kusafirisha mwili limechukuliwa na Clouds Media ambao wamehaidi kulipia gharama zote za usafiri.
 
Back
Top Bottom