P - Funk adai Fid Q ni MC namba moja duniani

Nikikwambia unitajie vitabu alivyokopi Fid yawezekana hauna, ok but wimbo wa JCB ule wa Arusha ameukopi kutoka kwa Jay Z
 
Aliyaongea hayo akiwa wapi?, anachambua mbegu za bangi?
 
Kiki! hyuy boya kama hatutengenezaaga hela kipindi kile baasi tenaa.
 
Vp kuhusu j cole,kendrick,tech 9ne,nas,pac,sarkodie wakina nyovest
 
Ngosha ni balaa chalii, na kama ni issue za vitabuni na kuiga madude ya mbele,mnukuu RIP Remmy Ongala ' .....muziki ni wa nani, muziki hauna mwenyewe'
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…