P Funk Majani apewe Degree ya heshima

Una haraka ya ku appreciate Kumbuka kuna tofauti Kati ya majani Na P funk je wajua?
Ni Nani? Alie simamisha bongo flavor -
Hiyo tuachie wenyewe
 
P Funk na Masoud Kipanya ni wasanii ambao wanastahili kupewa degree ya heshima.Labda wanasubiri mpaka wafe
Kipanya kwanza Ibra Radi washokera
Jamani waacheni wenyewe...
 
Una haraka ya ku appreciate Kumbuka kuna tofauti Kati ya majani Na P funk je wajua?
Ni Nani? Alie simamisha bongo flavor -
Hiyo tuachie wenyewe
This guy! Oh My God[emoji1]
 
P Funk enzi zake alikuwa ni hatari kwa mtazamo wangu naona anastahili.
 
Baloz, solo, sugu, moto wa tipa.
Saigon.
Balozi alikimbilia ulaya sijui marekani na huko hatujui maisha yake yakoje pengine anabeba box tu.

Solo Thang nae aliponyeka akakimbilia ulaya tunaona wenzake waliobaki wakina Jay Moe sijui Mchizi Mox maisha yao jinsi yalivyo yule mwingine Mad Malick madawa yalimuua kabisa.

Moto wa tipa ndio nani sio yule mnyanyua vitu vizito Zola D?!

Saigon sasa sijui kafanikiwa nini ile kuwa mtangazaji wa kipindi kilicho-fail eatv kwako ni mafanikio?!

Sugu ndio alikula dogo tena kwa juhudi zake binafsi maana alivyotoka ulaya hakuwa na mbele wa katikati..mafanikio yake hayahusiani kabisa na bongo Record.

Kifupi Majani kachangia kuwafelisha wasanii kibao wapo wapi Daz Nundaz wote mateja,wakina Ngwea,Juma Nature mlevi tu
 
Another one who's view is negative!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…