P Funk: Nilikuwa namkebehi tu Harmorapa, hata kwa milioni 10 siwezi kumrekodia

P Funk: Nilikuwa namkebehi tu Harmorapa, hata kwa milioni 10 siwezi kumrekodia

Wapi kaonyesha racial abuse

Tatizo la inferioty uliyokuwa nayo mkuu

Mtu akisema lake la moyoni mbaguzi kisa rangi asizungumze na kama angekuwa mbaguzi akina nature,jay ,fid na wengi wamefanya naye kazi kwa mafanikio haswa rappers ..juzi hapa huyo harmorapa wako aliitwa nyani na mmakonde mwenzake lakini harmonize hajaitwa racial abuser ila majani kumkosoa ki professional tena ushauri anaitwa mbaguzi


Haha kuna watu mnafurahisha sana
Ni kawaida, ukimwita MTU jina ambalo wewe hufananii unaonekana mbaguzi.

Hata Mzungu akikuita "negro" ataonekana mbaguzi ila ukiitwa na negro na MTU mweusi huo unakua sio Ubaguzi...
Ukiitwa "nyani" na Mzungu ni Ubaguzi.. Ila mweusi akikuita "nyani" ni sifa ya kawaida...

Ni mentality tuliojijengea..
 
Ni jambo jema kumtia moja badala ya kumnanga, maisha ni try and error mwisho nani ajuae unakuja kumpigia salute!
 
Malipo hapa hapa duniani, ngoja Hamorapa aje kuzaa na paula ndio heshima itakuwapo.
 
Kwa PFunk hapo sawa... Nilidhani kaacha tabia zake za kuchuja wasanii mpaka basi...
 
hata diamond ulimtosa enzi bongo record ipo juu... ila sasa hivi unatamani akuajiri wasafi
 
Huyo p ana tafuta kiki kupitia Harmorrapa
 
Producer mkali wa kitambo P Funk Majani amedai maneno ya kumsifia Harmorapa noma, ilikuwa tu ni kejeli kwa dogo huyo
Amedai hata kwa milioni 10 hawezi kumrekodia msanii huyo kwa kuwa yeye niproducer mwenye heshima
Pia amedai hata Marco chali alishakujaga studio kwake na kuishia getini


Hivi ndiye aliimba wimbo wa HAYA YOTE NI MAISHA, IPO SIKU YATAKWISHA?
 
Producer mkali wa kitambo P Funk Majani amedai maneno ya kumsifia Harmorapa noma, ilikuwa tu ni kejeli kwa dogo huyo
Amedai hata kwa milioni 10 hawezi kumrekodia msanii huyo kwa kuwa yeye niproducer mwenye heshima
Pia amedai hata Marco chali alishakujaga studio kwake na kuishia getini


Majigambo mengine upuuzi mtupu! Kumbuka hujafa hujaumbika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom