Nobody But Me
Senior Member
- May 4, 2021
- 160
- 111
[emoji23][emoji23][emoji23]Vijana wa kusikiliza trap wakukubaliana kuvaa kama wasanii wao waite ku drip.
Afu ile style yao ya kufuga nywele wanaiitaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Vijana wa kusikiliza trap wakukubaliana kuvaa kama wasanii wao waite ku drip.
[emoji23][emoji23] hyo nayo wanaiita dread... wamewambukiza mpaka wadada aise[emoji23][emoji23][emoji23]
Afu ile style yao ya kufuga nywele wanaiitaje?
Anajiita goat afu kwenye game hata miaka mitano hajafikishaYoung lunya anajiita G.O.A.T [emoji2211][emoji2211][emoji2211] daaah maisha yanaenda kasi sana
Ni kama msikilizishe jamaa ambae hamjui dizasta nyimbo zake zote, apate zile contents alafu umuoneshe na mtu anae miliki huo ubongo wa kutoa hizo filesAlafu ukimwona mtaani wala hauwezi mdhania unaeza mchukulia kama mshamba fulani hiv.
Sijui kwann watu weny uwezo mkubwa wa kufanya mambo kwa ukubwa huwa wanakuwa wa kawaida ukiwatazama hawanaga mbwembwe.
Ila ukitaka kuwajua uwakute sehemu zao.
Ni kawaida yake kupoteana[emoji23]Anajiita goat afu kwenye game hata miaka mitano hajafikisha
Hiyo goat kaitumia kama a.k.a lakini sio ile goat ya uwezo
Dogo aliharibu kwenye yes bana challenge aliimba ushuzi sehemu zingine hata vina hamna
Ukiwaeleza ukweli mashabiki zake watakutoa jino aise[emoji23][emoji23][emoji23]
He is just a kid.
. Dogo kila nyimbo anajisifu tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hyo nayo wanaiita dread... wamewambukiza mpaka wadada aise
Angepunguza kujimwambafai, akapiga kazi na respect walio mtangulia..discipline ni kitu muhimu sanaAnajiita goat afu kwenye game hata miaka mitano hajafikisha
Hiyo goat kaitumia kama a.k.a lakini sio ile goat ya uwezo
Dogo aliharibu kwenye yes bana challenge aliimba ushuzi sehemu zingine hata vina hamna
Watoto wenzie. [emoji23]Ukiwaeleza ukweli mashabiki zake watakutoa jino aise
Kasema mwenyewe saizi anashindana kuvaa (kudrip) [emoji23]Angepunguza kujimwambafai, akapiga kazi na respect walio mtangulia..discipline ni kitu muhimu sana
Kila nikisikiliza aina ya mziki flani nikaona haijanivutia kabisa ndo inanifanya niendelee kukaa kwenye misingi ya hip hop, mfano hii style ya mziki wanaoimba Mabantu[emoji23][emoji23][emoji23]
Dreadlocks zilikuwa zetu marasta. Hizi sio dreads!!!
Wanasema OMG bado ipo, ina maana kuna project wanazianda kama kundi au? Ndo janja janjaWatoto wenzie. [emoji23]
Kwenye ile Crew yao ya OMG naona labda Cannabino ndo rappa. Kidogo na Salmin Swaggz.. Ila Lunya mbabaishaji
Hii ya akina Whozu na Baddest 47 pia[emoji23]Kila nikisikiliza aina ya mziki flani nikaona haijanivutia kabisa ndo inanifanya niendelee kukaa kwenye misingi ya hip hop, mfano hii style ya mziki wanaoimba Mabantu
Thinking capacity yao pia ni kubwa kuna verse unaweza ukaziskia kwa mara moja afu ukapata ujumbe mrefu sana uliojifichaTunaishi na ma genious sana, hawa jamaa huwa na hisi wana uwezo mkubwa pia wakufikiri zaidi ya hata watu wanavyo wafikilia maana track zao, verse zao ni [emoji91][emoji91] tupu
Huenda zipo. Japo naona kama kundi linapoteana.Wanasema OMG bado ipo, ina maana kuna project wanazianda kama kundi au? Ndo janja janja
Wanauliza "Eti mwisho wa kifo lini?"Thinking capacity yao pia ni kubwa kuna verse unaweza ukaziskia kwa mara moja afu ukapata ujumbe mrefu sana uliojificha
Ebu fikiria tu kidogo nikki alipoimba
Alisema nchi ya viwanda, njoo uone nchi ya vibanda
Dizasta: Utakapochukua wasaa utagundua ulimpa saa alipohitaji muda wako
Songa: Hata chakula ni uchafu na ndio maana una nawa baada ya kula
Songa: Duniani ni kubaya na ndio maana ukizaliwa tu unalia
Mawenge: mwenye uchu wa mkwanja hajisifii na ndio maana hatokei dogo mjanja kwa madee
Nala: tunaishi kwa mujibu, matatizo hayajifichi kama umemkis mwenye aibu
We unayako nami nina yangu tutunziane ndo utaratibu
Ni kweli mkuu, yani ngoma ya hisia za moyoni ilini fikirisha sana, nadhani umeisikia pia ngoma ya confession of mad phillosopher inazungumzia mambo ya freedom, hapo lazima ujiulize huyu jamaa kawaza nini? Yani mpaka kutoa verse za namna hiiThinking capacity yao pia ni kubwa kuna verse unaweza ukaziskia kwa mara moja afu ukapata ujumbe mrefu sana uliojificha
Ebu fikiria tu kidogo nikki alipoimba
Alisema nchi ya viwanda, njoo uone nchi ya vibanda
Dizasta: Utakapochukua wasaa utagundua ulimpa saa alipohitaji muda wako
Songa: Hata chakula ni uchafu na ndio maana una nawa baada ya kula
Songa: Duniani ni kubaya na ndio maana ukizaliwa tu unalia
Mawenge: mwenye uchu wa mkwanja hajisifii na ndio maana hatokei dogo mjanja kwa madee
Na hii siwezi kuifanya pasipo nyinyi, nipe shavu nirushe kofi kwa ruksa pasipo mwinyiWanauliza "Eti mwisho wa kifo lini?"
Nawajibu "Kipo hai nadhani mwisho ni chini."
Hapa Songa alinikosha sana... Yaani wazo tu la kwamba kifo kipo hai.
Naunga mkono hojaHii ya akina Whozu na Baddest 47 pia[emoji23]
Ila nadhani kila kizazi kina entertainers wao. Si tuendelee na wakwetu.