P MAWENGE: Nahamia weusi

P MAWENGE: Nahamia weusi

Unajua shida ipo apa, kuna baadhi ya wasanii wa rap wanafanya underground hiphop alaf wanataka kukaa mainstream. Mziki wa weusi ni mainstream hiphop wakati huo mziki wa wasanii wa TAMADUNI ni underground hiphop wakati huo kuna baadhi ya wasanii wa tamaduni wanataka kushindana na weusi hili swala haliwezekani.
Ukiwa msanii wa rap unatakiwa kujua position yako kisha tengeneza pesa kupitia position yako. SHOUT-OUT kwa dizasta vina amejua position yake na anaitumia vyema, kuna wasanii walikua USA kama kina marehemu sean p wanajulikana kwa wachache wanaofatilia mziki wao na hivyohivyo kwa ata kwa bongo tutawajua sisi tunaofatilia hiyo kitu
Umemtaja Sean P nimekumbuka watu kama kina Talib kweli, Buckshot, Raste Juxx, Vinnie Paz, Immortal techniques ni ngumu sanaaaa kukuta watu wengi wanawafahamu.
 
P mawenge ni Moja ya vile vichanaji vilivoingia kwenye underground hiphop eidha kwa usela, mademu ,umachinoo ndo maana kanababaika babaika na hawezi penya main stream anajidanganya
 
P mawenge ni Moja ya vile vichanaji vilivoingia kwenye underground hiphop eidha kwa usela, mademu ,umachinoo ndo maana kanababaika babaika na hawezi penya main stream anajidanganya
Alikunyima kolabo nini?
 
Mzinguzi tu.... afu kapotea au ndo game limemficha anatoa ngoma zinaishia kuskilizwa na producer tu

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Huyu chalii WA AR....hajawahi wakubali weusi [emoji23]..hv chanzo n nn??.....Fido inawezekana atakuwa kajibu chochote hapo

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app

IMG_3792.jpg

Fido Vato anaamini Joh makini na Weusi ndo chanzo cha Nako 2 Nako kuvunjika, so mpaka kesho jamaa ni adui wa Weusi na Makazi yake ni Ololoo akiwa na kundi lake la Vato Locco[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Hakuna mtu wa hip-hop hamjui Harry Mack.

Unashangaza.

Harry Mack - The energy was insane
Nilikuwa namsikiliza sana bila kujua jina lake.

Alikuwa ni street rapper ninekutana na video zake nyingi mtandaoni ila sikuwahi kujua kama ndio yeye.

Jamaa yupo vizuri kwenye freestyle
 
Back
Top Bottom