Hakualikwa aliingia na card ya Davido ilikuwa ni Double.
Body without head
Da labda anajua jina la nasibu hajui la diamondo
mmmmmmmmmmmmh........
ila watu waliohudhuria ni wengi sana....sidhan kama ni rahis kumjua kila mtu......
Inasemekana aliingia kwa mgongo wa Davido mwanamuziki wa Nigeria.hivi kwanza jamaa aliingiaje kwenye harusi bila kualikwa? .. natatizika hapa!!!
Kwa hiyo yeye alikuwa Mrs davido?
Magazeti ya tanzania majinga sana
HeheheeeE... Mbona mr JK (just kidding) kwenye mkutano wa fursa kamuoshaaa?? Kasema ni MJ wa bongo atiii..hahahahahahahahaaaah
kwa hiyo mchizi wetu alizamia duuu
hivi kwanza jamaa aliingiaje kwenye harusi bila kualikwa? .. natatizika hapa!!!
mmmmmmmmmmmmh........
ila watu waliohudhuria ni wengi sana....sidhan kama ni rahis kumjua kila mtu......