Goodluck Mshana
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 1,272
- 1,120
Wanaija kwa dharau hawajambo. Haya sasa nawauliza tena P2, je bado hamumjui DIAMOND PLATNUMZ?
diamond hakualikwa alienda, na davido
kwani wakati wanatoa hiyo kauli huyo diamond alikuwa na mafanikio haya aliyonayo leo? kipindi kile huyo diamond alikuwa mburura kama mamburura wengine akina ommy dimpoz
P square wapuuzi tu
Hainiingii akilini
uliepost hii kitu IQ yako ni ndogo sn
Hivi ya lini hii.?
Unafanya masihara nn kualikwa na p square??,kwanza amualike kama nani labda??,angekuwa katoka bongo kwenda uko kwa ajili ya hyo harusi apo sawa, ila uko alienda kufanya muzik na davido sijui ndo hayo mambo yakatokea,so it was coincidence unafanya utani nn kualikwa na ma fogo wa africa??,asitake kiki za ajabu na yeye
vipi bado hawamjui?
Kweli kuwa mtanzania ni kazi....yaani mnashangilia P skwea (Nigeria) kutomfahamu Diamond (mtanzania)?
Sipati shida kufikiri ni kwa jinsi gani watanzania mnashangilia kwa kila tunalofeli dhidi ya nchi nyingine........timu yetu inaposhindwa.... basi meno thelathini na nje yote mbili.
Any way mpaka kufikia hatua ya kumjadili Diamond dhidi ya huyo P skwea wenu ni kumaanisha Diamond ni SOMEBODY.....ndio maana haiwezi kutokea mkajadili ishu yangu, jinsi nilivyochezea kichapo cha mbwa mwizi baada ya kuzamia mnuso juzi hapa Tandahimba......