P Square wamfunga mdomo Diamond!

P Square wamfunga mdomo Diamond!

kwani wakati wanatoa hiyo kauli huyo diamond alikuwa na mafanikio haya aliyonayo leo? kipindi kile huyo diamond alikuwa mburura kama mamburura wengine akina ommy dimpoz

Ni kweli kabisa kipindi hicho mond alikuwa mburura kama kibba alivyo sasa
 
Khaaa alizamia c unajua kwetu Tandale c tunazamiaga afu tunauchapa mpunga bila kualikwa
 
Wanigeria wana msemo wao usemao "FAKE IT FAKE IT TILL YOU MAKE IT"-DIAMOND PLATNUMZ MADE IT....
 
Unafanya masihara nn kualikwa na p square??,kwanza amualike kama nani labda??,angekuwa katoka bongo kwenda uko kwa ajili ya hyo harusi apo sawa, ila uko alienda kufanya muzik na davido sijui ndo hayo mambo yakatokea,so it was coincidence unafanya utani nn kualikwa na ma fogo wa africa??,asitake kiki za ajabu na yeye

vipi bado hawamjui?
 
Kweli kuwa mtanzania ni kazi....yaani mnashangilia P skwea (Nigeria) kutomfahamu Diamond (mtanzania)?

Sipati shida kufikiri ni kwa jinsi gani watanzania mnashangilia kwa kila tunalofeli dhidi ya nchi nyingine........timu yetu inaposhindwa.... basi meno thelathini na nje yote mbili.

Any way mpaka kufikia hatua ya kumjadili Diamond dhidi ya huyo P skwea wenu ni kumaanisha Diamond ni SOMEBODY.....ndio maana haiwezi kutokea mkajadili ishu yangu, jinsi nilivyochezea kichapo cha mbwa mwizi baada ya kuzamia mnuso juzi hapa Tandahimba......


Hao ndio waTz halisi, mkuu
 
Back
Top Bottom