alio kua na Ngwair ni M 2 the Psiyo huyo mkuu....alokuwa na ngwair alikuwa anaitwa Mr P...Huyu anaitwa P the MC
na watoto mliosoma kiingereza english medium ndio hua mna huo uandishi wa "ichoo" "tryn"anaitwa M 2 the P..jamaa yake na ngwair,watoto mlioanza kujua mziki 2015 ndo mnakuja na story hizi za kina P the MC.haha anaweza but hajafika kiwango ichoo..maybe wanangu.he's tryn
Hahahahaha! Mkuu umenikumbusha ile nyimbo yake inayoitwa Afande msela daaaa! Naipendaga kinoma sanaAchana na story tatu ya Jay moe,nikusaidieje ya Profesa Jay,starehe ya Ferooz,mikasi ya Ngwair au Playboy ya Nikki Mbishi
Huyu bwana anayietwa P the mc ni hatari kwa hizi nyimbo za kughani huku ukisimulia hadithi
anakosha sana.
Afande msela ngoma Kali SanaHahahahaha! Mkuu umenikumbusha ile nyimbo yake inayoitwa Afande msela daaaa! Naipendaga kinoma sana
nitajie ngoma zake nikazichimbe mkuu,nipe hayo madini..Chindo man ni mkali zaidi kwenye story
Nyokaanitajie ngoma zake nikazichimbe mkuu,nipe hayo madini..
bullah..naomba tuijadili avatar yako kidogoNyokaa
Nyokaa, tumbonii, doggy danger na mjeshi zitafute hizo usikie story inavyosimiliwa kwenye vinanitajie ngoma zake nikazichimbe mkuu,nipe hayo madini..
Huna jipya unaitwaSiku tu ushagawa namba kitaa kizima na ukashuka bei utazani bidhaa cha kichina
Una jipya bonge la wimbo
Sent using Jamii Forums mobile app