Hao wanaosema wanawataka mamelodi ni wanafki, moyoni wanaogopa. Kila mwanasimba anayejua mpira anajua timu hatuna msimu huu wal kocha hatunaHatua ya makundi ya klabu bingwa Africa imetamatika, hivyo kinachofuata ni draw ya robo fainali itakayoenda hadi fainali.
Simba inawashindani watatu ambao wanaweza kupangwa nao. Timu moja tu kati ya timu hizo tatu ndio ambayo sio ya kiarabu.
Wengi wanatamani kuona mechi ya Simba vs Mamelod ila kwa mimi naombea Simba ipangiwe Wydad Casablanca kwenye mechi ya robo fainali.
Unakatwa na mlawaUtabiri wangu kama itakua hivyo
Wydadi 12 .........0 makolo
Unaomba upangiwe nani mtani? Maana naona umezungukwa na moto kila kona!Muwasho ukizidi mkamuone daktari
Mamelodi Sundowns apewe kombe lake mapemaKombe anabeba mmoja kati ya utatu huu
1 Raja casablanca
2 Wydad casablanca
3 Al ahly sc
I wish Raja or Wydad ashinde
Raja mtoe hapo,,kachangamka hatua za kwanza Ila jinsi anavyoenda mbele anazid kukata motoKombe anabeba mmoja kati ya utatu huu
1 Raja casablanca
2 Wydad casablanca
3 Al ahly sc
I wish Raja or Wydad ashinde
Kuna uzi walianziasha wanamtaka Mamelodi na mimi nasema wapeweMimi natamani waletwe Mamelodi maana jezi yake ni rahisi kuioata hata Kariakoo halafu nzuri sana ,maana jezi ya Raja nilipata tabu sana kuipata mpaka nikaamua nichukue jezi ya Morocco tu.