Na huo mpira anaoucheza prison umewafikisha wapi,nguvu nyingi akili hamnaAseee....
Eti uzoefu wa soka la kiafrika, hakuna soka la kiafrika ila kuna upumbavu wa kiafrika ambao hautakiwi kuvumiliwa.
Tofauti iliyopo ni moja tu, hapa bongo tunatumia Nguvu nyingi bila akili, mfano mwepesi mpira anaoucheza prisons.
Ndio huwa nashangaa....Na huo mpira anaoucheza prison umewafikisha wapi,nguvu nyingi akili hamna
Mkuu hujawaelewa,wanavyoponda ndo njia yao ya kutoa maumivu ,hapo wameumia mpaka wameshindwa wamebaki kupondaKwa vile tunawajua kazi yenu ni kuponda vitu vya Mnyama, hata angelewa kocha wa Mabingwa wa Afrika Ahly mngeponda tu.
Kwahivyo tulieni, Simba si kama Uto
Umeandika kwa Maumivu makali kabisaSikutegemea kama Simba SC wangechagua jina badala ya Experience...
Punguza makasirikioHakuna kocha hapo, nk msimamizi wa mazoezi
Hahaha kwa straika mugalu ni pira makande tu hata aje gadiolaPira la kiamerica kusini hiloooooooooooooooooooooooo
Ipo tofauti ya soka la England, Hispania na Germany.Unapoongelea uzoefu wa soka Africa,
Bila shaka unazungumzia NDUMBA.
Wenzetu ulaya soka Ni sayansi na sio ushirikina kiazi wewe[emoji3525]
Sasa hivyo sio vigezo vya kumchukua kocha,Ipo tofauti ya soka la England, Hispania na Germany.
Na ndio muktadha huo huo unaotumika kusema soka la kiafrika.
Soka la kiafrika Lina ubabaishaji mwingi, ratiba ya kuungaunga, viwanja hovyo hovyo, fitna mwanzo mwisho.
Ndio tabia za kichawi hizo. Mtu aliyeshindwa maisha hawezi akakuongelea mazuri. Wenzetu ulaya kama mtu yupo vizuri wanasema.Mkuu hujawaelewa,wanavyoponda ndo njia yao ya kutoa maumivu ,hapo wameumia mpaka wameshindwa wamebaki kuponda
Ipo tofauti ya soka la England, Hispania na Germany.
Na ndio muktadha huo huo unaotumika kusema soka la kiafrika.
Soka la kiafrika Lina ubabaishaji mwingi, ratiba ya kuungaunga, viwanja hovyo hovyo, fitna mwanzo mwisho.
Haya ndo maneno Kuntu tunataka.Unapoongelea uzoefu wa soka Africa,
Bila shaka unazungumzia NDUMBA.
Wenzetu ulaya soka Ni sayansi na sio ushirikina kiazi wewe[emoji3525]
Simba hawana mikakati yoyote ya kufanya makubwa katika soka la Afrika,kocha huyo wamemchukua awasaidie katika NBC primier league,kama wangekuwa na mikakati ya kufanikiwa klabu bingwa ya Afrika basi wasingewauza wachezaji wao Chama na Miqussone,tena wamewauza kwa mahasimu wao.Simba imemtangaza Pablo Franco (41) kuwa Kocha Mkuu mpya akichukua nafasi iliyoachwa na Didier Gomes Da Rosa
Kocha huyo alikuwa anainoa Al Quadsia ya Kuwait. Pia amewahi kuzinoa Fuenlabrada, Getafe na amewahi kuwa Kocha Msaidizi Real Madrid.
Swali Je Ana uzoefu upi wa Soka la Kiafrika?
CV yake inaonyesha hajawahi kufundisha barani Afrika. Changamoto za soka la kiafrika anazitambua.
Hapa naona Simba wamejipiga na kitu kizito kingine.
View attachment 2001189
Uzuri wa kocha utauona kwenye matokeo ya mechi zake baada ya kumsainisha,hayo mengine ni blaa blaa, nadhani mfano mzuri unao kwa kocha Nabi wa Yanga alikuwa ametemwa El merekh lakini ameweza kubadilisha Yanga,japo ubingwa bado hajauchukua.Walichanganyikiwa na majina ya walio omba nafasi.
Wakasahau mahitaji ya timu yao.
Uto mmepatwa na kisukari eee?Simba hawana mikakati yoyote ya kufanya makubwa katika soka la Afrika,kocha huyo wamemchukua awasaidie katika NBC primier league,kama wangekuwa na mikakati ya kufanikiwa klabu bingwa ya Afrika basi wasingewauza wachezaji wao Chama na Miqussone,tena wamewauza kwa mahasimu wao.
Huyu Chrismass inamkuta kasharudi kwao.Mwana utopolo naona umewahi kuleta uzi kuhusu kocha wetu anyway!! Usichokijua tu ana mfumo wake wa 2-2-6, huo mfumo alishawahi kuingiza wachezaji watatu tu uwanjani na likafa jitu,,, mtu kashawahi kukaa kwenye benchi la ufundi la timu kubwa kabisa duniani lkn nnavyojua majirani walivyokuwa na nongwa hata hili watalipinga,, ukimchek tu sura yake ka Xavi, sasa sikwambii hizo mbinu! Mtugee tu kombe letu mapema kabla ya mwezi wa kumi na mbili!