Pablo Franco Kocha Mpya wa Simba SC

Ana ujuzi kabambe ,anaweza kuwaingiza uwanjani wachezaji wawili tu uwanjani ,Manula golini halafu Kagere ndo forward na utopolo mnafungwa goli 5 safi
Na mkiponea kwenye penalty mnaanza kusema GSM anahonga timu pinzani.
 
Sasa Simba Tuachane na Matola, Tuachane na Hitimana Na Wapuuzi wengine kwenye lile Benchi, ili Kocha Aanze upyaaaaaaa, Aangalie wachezaji yeye ajifumze yeye na kuamua.

Ila siku zote Simba Huanzaa Na Wengine huiga.

Kumleta huyu kocha sio Kitoto. Unafahamu Soka La Ulaya Na Uarabuni linavyo Lipa?
 
Apewe Muda apewe ushirikiano, aachwe atumie taaluma yake mwisho tutaona mafanikio yake
 
😂😂
 
Sawa Mkuu...Ila kwanini imekua ni big story?

Kukaaa Benchi la Madrid si jambo rahisi mkuu..Tena madrid ile[emoji1]

Nimeangalia hata pale Al-Qadsia timu inacheza ki-mfumo, Pira biriani tena Biryan Moto[emoji91], yaan sijui itakuaje wana UTO[emoji2]
Tunawapa muda

Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
 
Hizi pumba hata kwa Sven mlizitoa
 
hans pope apumzike kwa amani Ila aturudishie Simba yetu kwakweli alikua anaipenda nawasiwasi ameondoka nayo
 
naskia kaja na kibegi kidogodogo..ashatonywa mapema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…