permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Na mkiponea kwenye penalty mnaanza kusema GSM anahonga timu pinzani.Ana ujuzi kabambe ,anaweza kuwaingiza uwanjani wachezaji wawili tu uwanjani ,Manula golini halafu Kagere ndo forward na utopolo mnafungwa goli 5 safi