Mtanzanias
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 1,747
- 3,725
Uyu kocha naona ana hasira za haraka sana, awe makini zisije zikamgharimu pale zitakapokwenda mpaka kwa wachezaji, ajue hii ni ligi kuu na sio kombe la mapinduzi hili kila timu inajituma kwasababu kuna pesa ndefu asitegemee ushindi wa bwelele.
Lakini pia ajue gape la point 5 na anayeongoza ligi linakwenda kumpa presha zaidi anatakiwa atulie aache wenge vinginevyo atakuwa anazishuudia mechi jukwaani
Lakini pia ajue gape la point 5 na anayeongoza ligi linakwenda kumpa presha zaidi anatakiwa atulie aache wenge vinginevyo atakuwa anazishuudia mechi jukwaani