Paco Decor amefariki

Status
Not open for further replies.
Mazishi yanafanyika leo mchana makaburi ya Kinondoni....msiba uko nyuma ya hospitali ya Dr Mvungi
 
Umemsahau kumtaja Le Mutuz mkuu
Jamani sasa mmezidisha, hebu mpeni heshima yake yule baba, kwani amewakosea nini Mbona jamaa anaishi maisha yake atakavyo, kumbukeni ana binti mkubwa na ni baba wa mtu kwenda kumuita jina kama hilo ni kumkosea, hata kama ana kasoro zake za kibinadamu. Mumuache baba wa watu jamani si kwa matusi haya, ni BABA WA MTU YULE JAMANI.
 
wadada wa kitz wana watu wao ee...ukiona insta kumenuna ujue sukari ya wadada imeondoka..rip
 
Wanadamu tunajua kusema sana wengine,lakini nani ajuaye zaidi ya Mungu,Je sisi tukimuhukumu kumbe dakika ya mwisho alisema ''Mungu naomba unisamehe'' au alitubu,Je Mungu si atamsamehe tu,kwa hivyo basi mtu akisha kufa hakuna aja ya kumsema,tulipaswa tumsaidie akiwa hai na kumpa ushauri na kumwombea.Na pia mbele ya Mungu akuna dhambi isiyo samehewa endapo mwenye dhambi atatubu na kunuia kuacha kwa dhati kutokutenda hiyo dhambi tena.Dhambi ni dhambi mwenzako aweza kuwa mhasherati kumbe wewe ni mzinzi,au fisadi,au mmbeya na zote hizi ni dhambi hivyo hakuna aliye mkamilifu,ukamilifu unakuja unapotubu kwa dhati.Ndio manake hata wasio na dini uamini kwenye kutenda haki na kutokumkosea Mungu.
 
Afe tu kwakweli,nimeingia instagram page yake kwa pics nlizoziona huko zinasikitisha..eeh Mungu nisamehe nimehukumu nisipoweza kuhukumu ila naamini yote umepanga wewe hata kifo chake huyu umepanga wewe ili kuiepusha jamii yetu dhaifu kuiga mambo yake.wanaukumbi mnisamehe ila hawa watu nawachukia sana.
 
eeh binamu wanazika leo saa kumi, mpaka utoke nyamanolo utakua ushachelewa bora ulale tu

we nishafika Kwan hujui ndege zipo acha kuniaibishaaaa mfyuuuuuuu uniletee pafyum ya white diamond sawa
 
warumi mbona hujatupa umbeya WA lulu na majizo,majizo alienda Nigeria alikua anawania tuzo gani hhhhaaa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…