Tetesi: Pacome aomba kuondoka Yanga

Tetesi: Pacome aomba kuondoka Yanga

Nyanda Banka

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2023
Posts
304
Reaction score
1,054
FB_IMG_17195508218679103.jpg

Hizi inaweza kuwa taarifa kubwa zaidi hapa Tanzania kwenye dirisha hili Kubwa la Usajili 2024.

Taarifa za uhakika kutoka kwenye chanzo changu zinadai Paccome Zouzoua amepata offer kubwa kutoka kwa Mabingwa wa Africa, Al Ahly.

Kumbuka Pacome Zouzoua Peodoh amebakisha Mwaka 1 kwenye Mkataba wake na Yanga Africa hivyo amewaambia ni bora Kumuuza sasa kuepusha hatari ya Kuondoka bure msimu ujao kwasababu hana mpango wa Kuongeza Mkataba mpya

Paccome anashikilia rekodi ya kuwa mchezaji peke yake ambae amefunga Goli dhidi ya Al Ahly kwenye CAF champions league msimu uliopita.

Kiungo huyo ambae ni Raia wa Ivory coast Alifunga bao hilo Dakika ya 90+1 katika sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Kundi D uliochezwa Desemba 2 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa,Dar es salaam

Wananchi yapi yanaweza kuwa Maamuzi Mazuri hapa? Kumbakisha Paccome Zouzoua kwaajili ya CAF champions league msimu huu aondoke Bure msimu ujao? au Kuchukua Pesa Mapema na kufanya uwekezaji kwasababu dirisha la Usajili bado ni changa?
 
Hii habari umei copy kwa mchambuzi kanjanja anayejiita Wilson pasipo na wewe kutumia akili ukaileta hapa. Pacome bado yupo sana Yanga na anaingia Tanzania hivi karibuni na ataongeza mkataba wa miaka miwili kusalia Yanga. Poleni mnaotamani Yanga ianze na upya project
 
Hii habari umei copy kwa mchambuzi kanjanja anayejiita Wilson pasipo na wewe kutumia akili ukaileta hapa. Pacome bado yupo sana Yanga na anaingia Tanzania hivi karibuni na ataongeza mkataba wa miaka miwili kusalia Yanga. Poleni mnaotamani Yanga ianze na upya project
Unaonekana Rohoni umeumia sana Pole Mkuu
 
Kuna wachezaji wamebakiza mwaka mmoja mmoja ila viongozi wameamua kukaa nao mezani ili kuwaongezea mkataba na pia kuwaboreshea maslahi, baadhi ya wachezaji hao ni Pacome, Diarra na Aucho. Au unataka kusema kuwa kuongeza mkataba ni lazima hadi mkataba uishe?
Kwa hiyo miwili mingine tayari, jumla mitatu sio?
 
Back
Top Bottom