changaule
JF-Expert Member
- Jan 10, 2020
- 6,039
- 10,151
Vijana wa Rage sahizi ndio mida yao ya kufurahia, ila mashindano yakianza ndio utasikia kelele za Mangungu. Saivi kimya hawana habari ya MangunguMaandano ya Mangungu yana endelea aje huko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wa Rage sahizi ndio mida yao ya kufurahia, ila mashindano yakianza ndio utasikia kelele za Mangungu. Saivi kimya hawana habari ya MangunguMaandano ya Mangungu yana endelea aje huko?
Kuna Huyo jamaa Oruma, kuna yule mwengine Ngeleza na kaka yao yule mpuuzi wa Tunduru, me huwa sifatilii kabisa habari kutoka kwao.Wilson Oruma yaani anaongoza kwa kuandika vitu vya kijinga tena wa wazi wazi yaani katika Chama cha Wachambuzi Wa Ovyo Tanzania ( CHAWAOTA) sijui yeye ni mwenyekiti au ni nani. Ila naona ana wadhifa mkubwa sana kwenye chama.
Hivi usikute wameshasahau kama walikuwa hawamtaki Mwenyekiti wao wiko kadhaa zilizopita!! Hawa viumbe ni wasahaulifu sana. Na ndiyo maana Rage aliwaita mbumbumbu.Maandano ya Mangungu yana endelea aje huko?
Mkuu, hali inasikitisha. Kila mtu ana chanzo na kila mtu ni mchambuzi wa mpira.Siku hizi kila mtu ana chanzo chake
Mangungu anasajili akina Debora sasa kelele zimepungua.Maandano ya Mangungu yana endelea aje huko?
Ishu ingekuwa ina ukweli mtu wa kwanza ku report angekuwa Micky Jnr.Hivi hii inshu ya PACOME kuondoka Yanga SC baada ya kupata ofa katika klabu ya Al Ahly mashabiki wamejiandaaje kisaikolojia NEXT SEASON?! 🙄
Eti "chanzo changu" shenzi taipu wewe lazima utakuwa liccm ndio imejaa mijitu miongo.
Hizi inaweza kuwa taarifa kubwa zaidi hapa Tanzania kwenye dirisha hili Kubwa la Usajili 2024.
Taarifa za uhakika kutoka kwenye chanzo changu zinadai Paccome Zouzoua amepata offer kubwa kutoka kwa Mabingwa wa Africa, Al Ahly.
Kumbuka Pacome Zouzoua Peodoh amebakisha Mwaka 1 kwenye Mkataba wake na Yanga Africa hivyo amewaambia ni bora Kumuuza sasa kuepusha hatari ya Kuondoka bure msimu ujao kwasababu hana mpango wa Kuongeza Mkataba mpya
Paccome anashikilia rekodi ya kuwa mchezaji peke yake ambae amefunga Goli dhidi ya Al Ahly kwenye CAF champions league msimu uliopita.
Kiungo huyo ambae ni Raia wa Ivory coast Alifunga bao hilo Dakika ya 90+1 katika sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Kundi D uliochezwa Desemba 2 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa,Dar es salaam
Wananchi yapi yanaweza kuwa Maamuzi Mazuri hapa? Kumbakisha Paccome Zouzoua kwaajili ya CAF champions league msimu huu aondoke Bure msimu ujao? au Kuchukua Pesa Mapema na kufanya uwekezaji kwasababu dirisha la Usajili bado ni changa?
Alisha post kitambo sana,Ishu ingekuwa ina ukweli mtu wa kwanza ku report angekuwa Micky Jnr.
So unataka waendelee kutomtaka?Hivi usikute wameshasahau kama walikuwa hawamtaki Mwenyekiti wao wiko kadhaa zilizopita!! Hawa viumbe ni wasahaulifu sana. Na ndiyo maana Rage aliwaita mbumbumbu.
Hayo ni matamanio yako. Haya Sali hivi "Mungu ijalie uto Pakome aongeze mkataba".Hii habari umei copy kwa mchambuzi kanjanja anayejiita Wilson pasipo na wewe kutumia akili ukaileta hapa. Pacome bado yupo sana Yanga na anaingia Tanzania hivi karibuni na ataongeza mkataba wa miaka miwili kusalia Yanga. Poleni mnaotamani Yanga ianze na upya project
Asubirie Mnyama atakavyomuaibisha labda aende ulaya.Pacome mjanja anakwepa aibu🤣🤣