Tetesi: Pacome aomba kuondoka Yanga

Tetesi: Pacome aomba kuondoka Yanga

Wilson Oruma yaani anaongoza kwa kuandika vitu vya kijinga tena wa wazi wazi yaani katika Chama cha Wachambuzi Wa Ovyo Tanzania ( CHAWAOTA) sijui yeye ni mwenyekiti au ni nani. Ila naona ana wadhifa mkubwa sana kwenye chama.
Kuna Huyo jamaa Oruma, kuna yule mwengine Ngeleza na kaka yao yule mpuuzi wa Tunduru, me huwa sifatilii kabisa habari kutoka kwao.
Binafs nimewadharau huwa nawaona ni wapuuzi tu wamevamia fani ya uchambuzi.
 
Hivi hii inshu ya PACOME kuondoka Yanga SC baada ya kupata ofa katika klabu ya Al Ahly mashabiki wamejiandaaje kisaikolojia NEXT SEASON?! 🙄
 
Inaenda poa tu😀😀sisi kama simba hatuna shida aende tu
 
Tanzania tangu lini akujua mali, ( mpira wa miguu ) kwani pacome akiondoka Kuna shida kwenye klabu.

kwanini klabu za Tz mchezaji hamudu kwenye klabu zaidi ya misimu 4 au 5.
 
Al ahly hupenda kuchukua wachezaji waliowafunga kisha wakifika huko wanawaharibu
 
Hivi hii inshu ya PACOME kuondoka Yanga SC baada ya kupata ofa katika klabu ya Al Ahly mashabiki wamejiandaaje kisaikolojia NEXT SEASON?! 🙄
Ishu ingekuwa ina ukweli mtu wa kwanza ku report angekuwa Micky Jnr.
 

Hizi inaweza kuwa taarifa kubwa zaidi hapa Tanzania kwenye dirisha hili Kubwa la Usajili 2024.

Taarifa za uhakika kutoka kwenye chanzo changu zinadai Paccome Zouzoua amepata offer kubwa kutoka kwa Mabingwa wa Africa, Al Ahly.

Kumbuka Pacome Zouzoua Peodoh amebakisha Mwaka 1 kwenye Mkataba wake na Yanga Africa hivyo amewaambia ni bora Kumuuza sasa kuepusha hatari ya Kuondoka bure msimu ujao kwasababu hana mpango wa Kuongeza Mkataba mpya

Paccome anashikilia rekodi ya kuwa mchezaji peke yake ambae amefunga Goli dhidi ya Al Ahly kwenye CAF champions league msimu uliopita.

Kiungo huyo ambae ni Raia wa Ivory coast Alifunga bao hilo Dakika ya 90+1 katika sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Kundi D uliochezwa Desemba 2 katika Uwanja wa Benjamin Mkapa,Dar es salaam

Wananchi yapi yanaweza kuwa Maamuzi Mazuri hapa? Kumbakisha Paccome Zouzoua kwaajili ya CAF champions league msimu huu aondoke Bure msimu ujao? au Kuchukua Pesa Mapema na kufanya uwekezaji kwasababu dirisha la Usajili bado ni changa?
Eti "chanzo changu" shenzi taipu wewe lazima utakuwa liccm ndio imejaa mijitu miongo.
 
Hivi usikute wameshasahau kama walikuwa hawamtaki Mwenyekiti wao wiko kadhaa zilizopita!! Hawa viumbe ni wasahaulifu sana. Na ndiyo maana Rage aliwaita mbumbumbu.
So unataka waendelee kutomtaka?
 
"Hii taarifa si ya kweli,Ahaly wanamtaka kuna mchezaji toka Uarabuni na beki mmoja toka Algeria kwaajili ya maandalizi ya club World cup ,pia now hatujaweka sana nguvu kwenye usajili kwasababu ligi bado haijaisha,nilizungumza na mtu wa ndani wa timu hiyo"

George Ambangile, Kipindi cha asubuhi 01/07/2024
 
Hii habari umei copy kwa mchambuzi kanjanja anayejiita Wilson pasipo na wewe kutumia akili ukaileta hapa. Pacome bado yupo sana Yanga na anaingia Tanzania hivi karibuni na ataongeza mkataba wa miaka miwili kusalia Yanga. Poleni mnaotamani Yanga ianze na upya project
Hayo ni matamanio yako. Haya Sali hivi "Mungu ijalie uto Pakome aongeze mkataba".
 
Back
Top Bottom