Kichwa Kichafu
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 44,855
- 189,385
Pacome Hawezi Kufanya Ukolo Huo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pamoja na ubishi wote mliokuwa nao, naona hatimaye mmeamua kukiri kimtindo kwamba Pacome is better than Chama.Mimi sio mtume, nabii wala mtabiri
ila Uwezekano wa niliemtaja kuingia kwenye kundi la kina benard morrison, emmanuel okwi, beno kakolanya, juma kaseja, mrisho ngassa, amri kiemba athuman idd chuji n.k ni mkubwa,
Tufahamu kuwa mikataba huvunjwa na kuna gharama hulipwa kama faini ya kukiuka mkataba.
Tuendelee kufatilia.
Najua boss. Na mimi naenda nao hivyo hivyo.Wenzako wanfanya mzaha tu mkuu
Ni kweli, Ibrahim Baka mwenyewe ameshamalizana na Coast Union kilichobaki wanasubiri msimu tu umalizike wamtangaze rasmi.Si kweli.
Kwanini? Unasahau kuwa mpira ni biashara na Pacome ni mchezaji wa kulipwa. Bora ungesema Simba hakuna hiyo pesa ya kumlipa Yanga.Pacome Hawezi Kufanya Ukolo Huo
Si kweli. Baka anaenda liverpool. Waliona tangazo la bango la Yanga la ushindi wakavutiwa na uwezo wake. Hawakuhitaji hata kutazama mechi zake, bango lilimuuza.Ni kweli, Inrahim Baka mwenyewe ameshamalizana na Coast Union kilichobaki wanasubiri msimu tu umalizike wamtangaze rasmi.
Hapana mkuu, Alikataliwa sababu hakuwa na blitch, sasa hivi imekolea sana anahitajika. Wote na yule mwenzie. Inshort sasa hivi tunahitaji wapaka blitch wote pale msimbazi.Si Pacome alipopelekwa msimbazi mlimkataa kuwa hamsajili wachezaji wasio na majina?
HahhahahhaSi Pacome alipopelekwa msimbazi mlimkataa kuwa hamsajili wachezaji wasio na majina?
Mnazani mkifanya hivyo ndio mtazuia migogoro yenu, tengenezeni timu yenu hizi cheap popularity za kina Manzoki,Mayele mara Pacome hazito wasaidia.Mimi sio mtume, nabii wala mtabiri,
Ila Uwezekano wa niliemtaja kuingia kwenye kundi la kina Benard Morrison, Emmanuel Okwi, Beno Kakolanya, Juma Kaseja, Mrisho Ngassa, Amri Kiemba, Athuman Idd Chuji n.k ni mkubwa.
Tufahamu kuwa mikataba huvunjwa na kuna gharama hulipwa kama faini ya kukiuka mkataba.
Tuendelee kufatilia.
Hata kama ikitokea Pacome kaenda Simba ni sawa ni swala la maslahi lakini Yanga haitoteteleka kwasababu Yanga ni timu na sio mchezaji.Mimi sio mtume, nabii wala mtabiri,
Ila Uwezekano wa niliemtaja kuingia kwenye kundi la kina Benard Morrison, Emmanuel Okwi, Beno Kakolanya, Juma Kaseja, Mrisho Ngassa, Amri Kiemba, Athuman Idd Chuji n.k ni mkubwa.
Tufahamu kuwa mikataba huvunjwa na kuna gharama hulipwa kama faini ya kukiuka mkataba.
Tuendelee kufatilia.
Unawezaje kuwa mshabiki wa simba alafu nisiwe na msongo wa mawazo? We unajitambua kweli?Inaonekana una msongo wa mawazo.
Kolowizdad mnatafuta watu wa kufa naoHata wewe mkuu, kupigwa bao 7 na point 6 kwa mshindani wako utaachaje kuweweseka🤣