Padre afariki akiendesha Ibada ya Mazishi Mtwara

Tukio kama hili lilitokea miaka michache iliyopita bapo mchungaji alifariki akiendesha sala ya maziko makaburini.
 
Mmoja wa madaktari wa Hosptali hiyo ya Ndanda ambaye hakupenda jina lake litajwe kwenye vyombo vya Habari (Dr Venance Chingwile) amethibitisha kupokelewa mwili wa Mchungaji Milanzi, na kuhifadhiwa chumba cha maiti (Mochwari) ukisubiri taratibu za mazishi.

Hii ni Kali ya kumuaga IGP Simon Sirro
 
Mfumo wa mwili wa mwanadamu, ni sawa na mfumo wa gari; breakdown inaweza kutokea muda wowote bila kujua.
Kama nakuelewa vile........kwa hiyo engine kwenye gari inafanana na kiungo gani kwa binadamu?
 
Uandishi wa hovyo kabisa yani daktrari ambaye hakutaka jina lake litajwe , then kwenye mabano mnaweka tena jina lake , haya mambo haya yanashida sana
 
Habari ya uongo hii hajafa kiongozi yeyote wa kanisa katoliki huko kusini
 
Aliyefariki ni mchungaji wa makanisa ya kilokole, marehemu alikataliwa kuzikwa na kanisa la RC
 
Kanisa katoliki kina mapadre. RIP, kaz ya Mungu Haina makosa
 
"Mmoja wa madaktari wa Hosptali hiyo ya Ndanda ambaye hakupenda jina lake litajwe kwenye vyombo vya Habari (Dr Venance Chingwile) amethibitisha kupokelewa mwili wa Mchungaji Milanzi"
"Kifo cha Mchungaji huyo kimetokea kwenye Kijiji hicho Julai 19 mwaka huu, saa 5:00 asubuhi kwenye eneo linalotumika mahususi kwa mazishi ya watu wanaofariki dunia."
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…