Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
St Moore mbezi beach leo kulilipuka furaha baada ya padre aliekuwepo kupewa masaa matatu aelekee St Joseph alipewa mda wa kukabidhi funguo. Tu
Padre huyu alilalama jpili kaniisa limejaa wazee hawana msaada wowote wako kuchunguzana limeishia wapi ooh zimeliwa ngapi...zimetumika ngapi baadae wanapeleka makelele mbele kwa viongozi. Akawambiaa niwaambie tu tunapoelekea ubaya ubwela.
Umbwelaa kweli mnachotaka hamtafanikiwa hakujuaa watu wanamrekodi maskini. Hapa kati wakampa masaa kadhaa akabidhi kila kitu na asilale pale ndani
Leo tumeanza na padre mpya ameomba tusahau machungu yotee. Tuanze upyaa na ameomba tushirikiane na kanisa litamalizika kwenye ujenzi
Bwana Yesu asifiwe
Tunahitaji maamuzi magumu kama haya
Padre huyu alilalama jpili kaniisa limejaa wazee hawana msaada wowote wako kuchunguzana limeishia wapi ooh zimeliwa ngapi...zimetumika ngapi baadae wanapeleka makelele mbele kwa viongozi. Akawambiaa niwaambie tu tunapoelekea ubaya ubwela.
Umbwelaa kweli mnachotaka hamtafanikiwa hakujuaa watu wanamrekodi maskini. Hapa kati wakampa masaa kadhaa akabidhi kila kitu na asilale pale ndani
Leo tumeanza na padre mpya ameomba tusahau machungu yotee. Tuanze upyaa na ameomba tushirikiane na kanisa litamalizika kwenye ujenzi
Bwana Yesu asifiwe
Tunahitaji maamuzi magumu kama haya