Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimependa size ya kiuno 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Eti wakristo mnajifanya mnatangaza UPENDO...migogoro ya kijingJinga tu!what a shame
Churches turn into people's businessSt Moore mbezi beach leo kulilipuka furaha baada ya padre aliekuwepo kupewa masaa matatu aelekee St Joseph alipewa mda wa kukabidhi funguo. Tu
Padre huyu alilalama jpili kaniisa limejaa wazee hawana msaada wowote wako kuchunguzana limeishia wapi ooh zimeliwa ngapi...zimetumika ngapi baadae wanapeleka makelele mbele kwa viongozi. Akawambiaa niwaambie tu tunapoelekea ubaya ubwela.
Umbwelaa kweli mnachotaka hamtafanikiwa hakujuaa watu wanamrekodi maskini. Hapa kati wakampa masaa kadhaa akabidhi kila kitu na asilale pale ndani
Leo tumeanza na padre mpya ameomba tusahau machungu yotee. Tuanze upyaa na ameomba tushirikiane na kanisa litamalizika kwenye ujenzi
Bwana Yesu asifiwe
Tunahitaji maamuzi magumu kama haya
Mwamba umerudi.Sijaona mgogoro hapo bali ni uwajibikaji sio kama nyie CCM kuwajibika kwenu ni kama kifo
😂😂 Zamani nilihisi ni mapuuza yake. kumbe wajukuu mnamfichia(ga) miwani anapoteza uelekeo. 🤣🤣Ni mbabu huyo anahitaji msaada wa keyboard nzuri na miwani Kali, tangu 2007 yupo humu
😂😂😂 Zamani nilihisi ni mapuuza yake. kumbe wajukuu mnamfichia(ga) miwani anapoteza uelekeo. 🤣🤣
Story inamuhusu Padre nawe unadai ni muumini wa hapo, ila hitimisho umegonga "Bwana asifiwe".St Moore mbezi beach leo kulilipuka furaha baada ya padre aliekuwepo kupewa masaa matatu aelekee St Joseph alipewa mda wa kukabidhi funguo. Tu
Padre huyu alilalama jpili kaniisa limejaa wazee hawana msaada wowote wako kuchunguzana limeishia wapi ooh zimeliwa ngapi...zimetumika ngapi baadae wanapeleka makelele mbele kwa viongozi. Akawambiaa niwaambie tu tunapoelekea ubaya ubwela.
Umbwelaa kweli mnachotaka hamtafanikiwa hakujuaa watu wanamrekodi maskini. Hapa kati wakampa masaa kadhaa akabidhi kila kitu na asilale pale ndani
Leo tumeanza na padre mpya ameomba tusahau machungu yotee. Tuanze upyaa na ameomba tushirikiane na kanisa litamalizika kwenye ujenzi
Bwana Yesu asifiwe
Tunahitaji maamuzi magumu kama haya
Haijulikani ni dhehebu gani. Katoliki tuna Padre ila hatuna Bwana AsifiweSt Moore mbezi beach leo kulilipuka furaha baada ya padre aliekuwepo kupewa masaa matatu aelekee St Joseph alipewa mda wa kukabidhi funguo. Tu
Padre huyu alilalama jpili kaniisa limejaa wazee hawana msaada wowote wako kuchunguzana limeishia wapi ooh zimeliwa ngapi...zimetumika ngapi baadae wanapeleka makelele mbele kwa viongozi. Akawambiaa niwaambie tu tunapoelekea ubaya ubwela.
Umbwelaa kweli mnachotaka hamtafanikiwa hakujuaa watu wanamrekodi maskini. Hapa kati wakampa masaa kadhaa akabidhi kila kitu na asilale pale ndani
Leo tumeanza na padre mpya ameomba tusahau machungu yotee. Tuanze upyaa na ameomba tushirikiane na kanisa litamalizika kwenye ujenzi
Bwana Yesu asifiwe
Tunahitaji maamuzi magumu kama haya
Yule alipoondolewa na serikali sasa aliyekula sadaka waumini walitakiwa wamsameheTungesameheee kibokoo ya....
Ujinga tu,kwani akisema ubaya ubwela ndio nini sasa?Sijaona mgogoro hapo bali ni uwajibikaji sio kama nyie CCM kuwajibika kwenu ni kama kifo
Ujinga tu,kwani akisema ubaya ubwela ndio nini sasaalia
Alianza kwa kuwatusi waaminiUjinga tu,kwani akisema ubaya ubwela ndio nini sasa?
Naona umeamua kuvunja amri ya tisa bila aibu"usimshuhudie jirani yako uongo" haya hebu Natajie hayo matusi aliyowatusi wauminiAlianza kwa kuwatusi waamini
Hatupumia aiseeUbaya ubwelaa bwelaaa