BLACKTIGER
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 1,568
- 1,923
Duh! ubaya ubwela hadi kanisani huyo padre ni shabiki wa simba Mo amchuke asaidie bench la ufundi!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ubaya ubwela mwanangu!St Moore mbezi beach leo kulilipuka furaha baada ya padre aliekuwepo kupewa masaa matatu aelekee St Joseph alipewa mda wa kukabidhi funguo. Tu
Padre huyu alilalama jpili kaniisa limejaa wazee hawana msaada wowote wako kuchunguzana limeishia wapi ooh zimeliwa ngapi...zimetumika ngapi baadae wanapeleka makelele mbele kwa viongozi. Akawambiaa niwaambie tu tunapoelekea ubaya ubwela.
Umbwelaa kweli mnachotaka hamtafanikiwa hakujuaa watu wanamrekodi maskini. Hapa kati wakampa masaa kadhaa akabidhi kila kitu na asilale pale ndani
Leo tumeanza na padre mpya ameomba tusahau machungu yotee. Tuanze upyaa na ameomba tushirikiane na kanisa litamalizika kwenye ujenzi
Bwana Yesu asifiwe
Tunahitaji maamuzi magumu kama haya
NA WALE WANAOGOMBEA MISIKITI JE?Mgogoro waibuka kiwanja cha Msikiti ArushaEti wakristo mnajifanya mnatangaza UPENDO...migogoro ya kijingJinga tu!what a shame
Eti wakristo mnajifanya mnatangaza UPENDO...migogoro ya kijingJinga tu!what a shame
Usiseme kama vile umevimbiwa pilau unataka kutoa mashuzi upumue. Mafundisho ya kuendekeza watu wanaofanya jinai au kukosa maarifa na weledi?Kwanini mnaenda kinyume na maandiko?
Kwanini msisamehe 7× 70?
Mmekiuka maandiko mnayoyahubiri
Hivi hapa Mwenge sokoni, msikiti bado upo? Maana wajanja huwa wanachukua viwanja halafu baadae wanafanya vyao.NA WALE WANAOGOMBEA MISIKITI JE?Mgogoro waibuka kiwanja cha Msikiti Arusha
Mapadri wa dot com sioo poaa
Sisihatuandiki ivi mkuutuwie razi😆😆Naona umeamua kumsapoti Pdidy msomali kwa mwandiko wa Kikorintho
Dalili ya ukomavu sio kuto gombana,ni uwezo mkubwa wa kurekebisha tofauti baada ya hapo.Eti wakristo mnajifanya mnatangaza UPENDO...migogoro ya kijingJinga tu!what a shame
dini ni miradi ya watu sema mwafrika akili kisodaEti wakristo mnajifanya mnatangaza UPENDO...migogoro ya kijingJinga tu!what a shame