Padre aliesema ubaya ubwela kanisani ahamishwaa

Churches turn into people's business
 
Story inamuhusu Padre nawe unadai ni muumini wa hapo, ila hitimisho umegonga "Bwana asifiwe".
Wenye akili tumekuelewa
 
Haijulikani ni dhehebu gani. Katoliki tuna Padre ila hatuna Bwana Asifiwe
 
hili kanisaaa wanapiga sanaa yaan wanatoa sadakaa michango kibao kuna wawili wametolewa mieez kadhaa mmoja yuko kilungule hana hamu kule labda adili na totos...mwingine sijuii alifia wapi....

Yaan sijawahi sikia hekima ya Mh Joseph mbatia leo kila muumini amemfurahiaaa

Mungu akutunze
 
Religious people is too Hipocrite like their fellow members Pharisees from Zion!
Jamaa ni wanafki kishenzi yaani hua Wana pretend vitu vingi kinafki sana
Hope huko mbinguni wao ni chanel ya Vichekesho
FUTUHI kwa maigizo yao!

Sasa kwani Ubaya si Ubwela kwani kuna shido?
😁😁
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…