Padre aliesema ubaya ubwela kanisani ahamishwaa

Duh! ubaya ubwela hadi kanisani huyo padre ni shabiki wa simba Mo amchuke asaidie bench la ufundi!
 
Ubaya ubwela mwanangu!
 
Eti wakristo mnajifanya mnatangaza UPENDO...migogoro ya kijingJinga tu!what a shame

Sasa nawe umeandika nini. Upendo unahusiana nini na taratibu? Umesikia wamemchapa bakora au wamemwamisha?
 
Kwanini mnaenda kinyume na maandiko?
Kwanini msisamehe 7× 70?
Mmekiuka maandiko mnayoyahubiri
Usiseme kama vile umevimbiwa pilau unataka kutoa mashuzi upumue. Mafundisho ya kuendekeza watu wanaofanya jinai au kukosa maarifa na weledi?
 
Eti wakristo mnajifanya mnatangaza UPENDO...migogoro ya kijingJinga tu!what a shame
Dalili ya ukomavu sio kuto gombana,ni uwezo mkubwa wa kurekebisha tofauti baada ya hapo.
Kuna watu mpaka wanarogana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…