Padre Jean Baptiste Mapunda si ulifukuzwa Zambia wewe katika shirika lako la missionaries ofAfrica?

Padre Jean Baptiste Mapunda si ulifukuzwa Zambia wewe katika shirika lako la missionaries ofAfrica?

Dragunov Sniper

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2015
Posts
2,795
Reaction score
9
Kumbukumbu zangu zinaniambia dhahiri kwamba wewe Padri Jean Baptiste Mapunda ulishwahi kufukuzwa kule Zambia katika Shirika la MISSIONARIES OF AFRICA ndo ukarudi hapa nchini ukaendelea kuchonga sana, na ashukuruwe Mungu kwamba uliacha kunywa pombe vinginevyo sijui ungelikuwa wapi, pia uwashukuru AA (ALCOHOLIC ANONYMOUS) walikutoa mbali tena ingekuwa vizuri endapo ungelikuwa unawaandikia makala nzuri nzuri za kuelimisha watu juu ya madhara ya pombe ili wasiangamie kama ulivyotaka kuangamia kipindi kile.

Kwa sasa nakushauri utulie tuu na uendelee kutumia kipaji chako cha kufundisha habari za Mungu, labda wale Wamisionari wakikuona umetulia wanaweza kukurudisha tena Shirikani lakini upunguze kuchonga na kujifanya muongeaji na mjuaji wa hayo mambo unayoyaandika kwenye makala.

Nakutakia utumishi mwema uliobadilika, maana usifikiri sisi waumini wako hatukujui ulipotoka, tunakujua sana ndo maana tunakushauri ujiepushe na siasa ama la uache utumishi wako huo na uwe mwanasiasa, au ulitoawa kule BMK katika kundi la 201? Pole sana, sasa usilipize kisasi kwa style hiyo, maana unajidharirisha tu huku nchini kwako, kuandika kwako malundo ya makala usifikiri unachokiandika kina mantiki sana, tumegundua unawapotosha waumini na watanzania kwa ujumla kwa maneno ya chuki kwa lengo la kuichukia Serikali, kuwa mzalendo na uendelee kuhubiri neno la Bwana kwani hiyo kazi ya siasa haikufai.
 
Kumbukumbu zangu zinaniambia dhahiri kwamba wewe Padri Jean Baptiste Mapunda ulishwahi kufukuzwa kule Zambia katika Shirika la MISSIONARIES OF AFRICA ndo ukarudi hapa nchini ukaendelea kuchonga sana, na ashukuruwe Mungu kwamba uliacha kunywa pombe vinginevyo sijui ungelikuwa wapi, pia uwashukuru AA (ALCOHOLIC ANONYMOUS) walikutoa mbali tena ingekuwa vizuri endapo ungelikuwa unawaandikia makala nzuri nzuri za kuelimisha watu juu ya madhara ya pombe ili wasiangamie kama ulivyotaka kuangamia kipindi kile.

Kwa sasa nakushauri utulie tuu na uendelee kutumia kipaji chako cha kufundisha habari za Mungu, labda wale Wamisionari wakikuona umetulia wanaweza kukurudisha tena Shirikani lakini upunguze kuchonga na kujifanya muongeaji na mjuaji wa hayo mambo unayoyaandika kwenye makala.

Nakutakia utumishi mwema uliobadilika, maana usifikiri sisi waumini wako hatukujui ulipotoka, tunakujua sana ndo maana tunakushauri ujiepushe na siasa ama la uache utumishi wako huo na uwe mwanasiasa, au ulitoawa kule BMK katika kundi la 201? Pole sana, sasa usilipize kisasi kwa style hiyo, maana unajidharirisha tu huku nchini kwako, kuandika kwako malundo ya makala usifikiri unachokiandika kina mantiki sana, tumegundua unawapotosha waumini na watanzania kwa ujumla kwa maneno ya chuki kwa lengo la kuichukia Serikali, kuwa mzalendo na uendelee kuhubiri neno la Bwana kwani hiyo kazi ya siasa haikufai.

Unapambana na Ukuta tu! Toa Boriti kwenye jicho lako ndio utaweza ona kibanzi kidogo kwenye jicho la Pr. Mapunda!! Hutaweza system ya kanisa katoliki sana sana unataka kujifunza labda!
 
Unapambana na Ukuta tu! Toa Boriti kwenye jicho lako ndio utaweza ona kibanzi kidogo kwenye jicho la Pr. Mapunda!! Hutaweza system ya kanisa katoliki sana sana unataka kujifunza labda!
Inaonekana huyo padri ni hawala yako eeeenh ama mmeo! Maana unamtetea mchumia tumbo huyo as if ni baba yako au aliwahi kuoa kwenu eeenh? Hana jipya tutamuanika uchafu wake kila kukicha ili aone kuwa watu wanamjua sana humu ndani aacha kupotosha umma kwa maneno ya uongo.
 
Inaonekana huyo padri ni hawala yako eeeenh ama mmeo! Maana unamtetea mchumia tumbo huyo as if ni baba yako au aliwahi kuoa kwenu eeenh? Hana jipya tutamuanika uchafu wake kila kukicha ili aone kuwa watu wanamjua sana humu ndani aacha kupotosha umma kwa maneno ya uongo.

Usisahau kutubu maana matusi ni dhambi! Umejaa na kushiba dharau bwana mdogo! lakini kumbuka mwanadamu u chini ya muumba wako! jione na jitakase hata kama unalipwa kwa kila tusi hapa JF!! Yawezekana kabisa kuwa unautukana Ukatoliki na ukristo kupitia maandiko yako hapa JF. Kuniita mimi ni hawala wa Fr.Mapunda ni dhahiri kuwa wewe siyo Mkristo!
 
Usisahau kutubu maana matusi ni dhambi! Umejaa na kushiba dharau bwana mdogo! lakini kumbuka mwanadamu u chini ya muumba wako! jione na jitakase hata kama unalipwa kwa kila tusi hapa JF!! Yawezekana kabisa kuwa unautukana Ukatoliki na ukristo kupitia maandiko yako hapa JF. Kuniita mimi ni hawala wa Fr.Mapunda ni dhahiri kuwa wewe siyo Mkristo!
Ndo uache kushabikia ujinga, otheriwise haya yatakuwa yakikuandama mpaka uelewe, kama yamekuuma kunywa sumu ufe, kama kakutuma mwambie aache uchungaji awe mwansiasa tujue, na uache kuhukumu maana biblia haitaki umuhukumu mwenzio.
 
Ndo uache kushabikia ujinga, otheriwise haya yatakuwa yakikuandama mpaka uelewe, kama yamekuuma kunywa sumu ufe, kama kakutuma mwambie aache uchungaji awe mwansiasa tujue, na uache kuhukumu maana biblia haitaki umuhukumu mwenzio.

Wewe ni nani mwanadamu uliyeumbwa uwe juu ya mwanadamu mwenzio! Kinachokusumbua ni hivi vihela hela vya kuvizia tu!! Unataka kuwa kufuri la midomo ya watu wengine! Hii dunia inamaajabu kweli!
 
Kumbukumbu zangu zinaniambia dhahiri kwamba wewe Padri Jean Baptiste Mapunda ulishwahi kufukuzwa kule Zambia katika Shirika la MISSIONARIES OF AFRICA ndo ukarudi hapa nchini ukaendelea kuchonga sana, na ashukuruwe Mungu kwamba uliacha kunywa pombe vinginevyo sijui ungelikuwa wapi, pia uwashukuru AA (ALCOHOLIC ANONYMOUS) walikutoa mbali tena ingekuwa vizuri endapo ungelikuwa unawaandikia makala nzuri nzuri za kuelimisha watu juu ya madhara ya pombe ili wasiangamie kama ulivyotaka kuangamia kipindi kile.

Kwa sasa nakushauri utulie tuu na uendelee kutumia kipaji chako cha kufundisha habari za Mungu, labda wale Wamisionari wakikuona umetulia wanaweza kukurudisha tena Shirikani lakini upunguze kuchonga na kujifanya muongeaji na mjuaji wa hayo mambo unayoyaandika kwenye makala.

Nakutakia utumishi mwema uliobadilika, maana usifikiri sisi waumini wako hatukujui ulipotoka, tunakujua sana ndo maana tunakushauri ujiepushe na siasa ama la uache utumishi wako huo na uwe mwanasiasa, au ulitoawa kule BMK katika kundi la 201? Pole sana, sasa usilipize kisasi kwa style hiyo, maana unajidharirisha tu huku nchini kwako, kuandika kwako malundo ya makala usifikiri unachokiandika kina mantiki sana, tumegundua unawapotosha waumini na watanzania kwa ujumla kwa maneno ya chuki kwa lengo la kuichukia Serikali, kuwa mzalendo na uendelee kuhubiri neno la Bwana kwani hiyo kazi ya siasa haikufai.

Personal attacks hazisaidii na hazikusaidii kukomaa kifikira. Tunahitaji Watanzania wanaokamaa kifikira ili wakitoa mawazo ya kuwasaidia wenzao yawasaidie kweli. Katika haya uliyoyaandika nasikitika kusema hakuna point ya maana. Learn to argue constructively. Na kwa kumsaidia Fr Mapunda na wewe andika makala na uonyeshe jinsi za kwako zinavyowasaidia Watanzania. Hapo utakuwa umejijengea jina zuri na utakuwa umetusaidia sisi wote. Lakini kwa kile ulichokiandika ni aibu tupu!
 
Inaonekana huyo padri ni hawala yako eeeenh ama mmeo! Maana unamtetea mchumia tumbo huyo as if ni baba yako au aliwahi kuoa kwenu eeenh? Hana jipya tutamuanika uchafu wake kila kukicha ili aone kuwa watu wanamjua sana humu ndani aacha kupotosha umma kwa maneno ya uongo.
Acheni mitusi enyi wanadamu endelea kujenga hoja.
 
Na wewe tutakuanika,. Kwani wewe ni msafi sana??mavi tu :disapointed:.....kamjibu na wewe kwa makala za hoja na sio umbea humu ndani...ka vipi kaimbe taarab DARLIVE..huku ni kwa great thinkers tu......
Inaonekana huyo padri ni hawala yako eeeenh ama mmeo! Maana unamtetea mchumia tumbo huyo as if ni baba yako au aliwahi kuoa kwenu eeenh? Hana jipya tutamuanika uchafu wake kila kukicha ili aone kuwa watu wanamjua sana humu ndani aacha kupotosha umma kwa maneno ya uongo.
 
Personal attacks hazisaidii na hazikusaidii kukomaa kifikira. Tunahitaji Watanzania wanaokamaa kifikira ili wakitoa mawazo ya kuwasaidia wenzao yawasaidie kweli. Katika haya uliyoyaandika nasikitika kusema hakuna point ya maana. Learn to argue constructively. Na kwa kumsaidia Fr Mapunda na wewe andika makala na uonyeshe jinsi za kwako zinavyowasaidia Watanzania. Hapo utakuwa umejijengea jina zuri na utakuwa umetusaidia sisi wote. Lakini kwa kile ulichokiandika ni aibu tupu!
Acha upuuzi wewe mwehu, sasa we ndo umekomaa kifikra? Umeweka maneno mengi lakini ni pumba tupu, kajipangentena mchumia tumbo wewe.
 
Na wewe tutakuanika,. Kwani wewe ni msafi sana??mavi tu :disapointed:.....kamjibu na wewe kwa makala za hoja na sio umbea humu ndani...ka vipi kaimbe taarab DARLIVE..huku ni kwa great thinkers tu......
WEWE ACHA USHOGA WAKO HUMU NDANI, KAKUOA HUYO PADRI AMA? Mbona unadandia treni kwa mbele? Unakurupuka utadhani umefata chakula cha njaa humu ndani? Mavi ni wewe na ukoo wenu huko kwenu mnaoshabikia ujinga, kama kazi yako ndo kuimba taarab basi hongera kwa kipaji maana unaendaga pale darlive unavyoonekana na ndo kazi yako hiyo, utaolewa mjini hapa shauri yako.
 
Personal attacks hazisaidii na hazikusaidii kukomaa kifikira. Tunahitaji Watanzania wanaokamaa kifikira ili wakitoa mawazo ya kuwasaidia wenzao yawasaidie kweli. Katika haya uliyoyaandika nasikitika kusema hakuna point ya maana. Learn to argue constructively. Na kwa kumsaidia Fr Mapunda na wewe andika makala na uonyeshe jinsi za kwako zinavyowasaidia Watanzania. Hapo utakuwa umejijengea jina zuri na utakuwa umetusaidia sisi wote. Lakini kwa kile ulichokiandika ni aibu tupu!
Ndugu kweli una macho lakini huoni. Haya yote hukuona point. Hata point mbaya hukuiona. Ulitaka kuona mtoa mada akikusifia ndo ungesema hiyo point ukacheka hadi mapengo yako yote yakaonekana!:lol:
 
Wewe ni nani mwanadamu uliyeumbwa uwe juu ya mwanadamu mwenzio! Kinachokusumbua ni hivi vihela hela vya kuvizia tu!! Unataka kuwa kufuri la midomo ya watu wengine! Hii dunia inamaajabu kweli!
Wewe acha uchumia tumbo humu ndani, kama umetumwa waambie hao walokutuma kuwa hatudanganyiki, wanapoteza fedha zao bure, naona ulizaliwa kwa makusudi lakini unaishi kwa bahati mbaya.
 
Ndo uache kushabikia ujinga, otheriwise haya yatakuwa yakikuandama mpaka uelewe, kama yamekuuma kunywa sumu ufe, kama kakutuma mwambie aache uchungaji awe mwansiasa tujue, na uache kuhukumu maana biblia haitaki umuhukumu mwenzio.

Tumia lugha nzuri tu na siyo ya kuudhi. Pili, na wewe unaweza kuandika makala zako kwenye gazeti la Mwananchi ili tukusome na kuona jinsi unavyoandika vizuri mambo haya ya siasa hapa Tanzania.
 
WEWE ACHA USHOGA WAKO HUMU NDANI, KAKUOA HUYO PADRI AMA? Mbona unadandia treni kwa mbele? Unakurupuka utadhani umefata chakula cha njaa humu ndani? Mavi ni wewe na ukoo wenu huko kwenu mnaoshabikia ujinga, kama kazi yako ndo kuimba taarab basi hongera kwa kipaji maana unaendaga pale darlive unavyoonekana na ndo kazi yako hiyo, utaolewa mjini hapa shauri yako.
Acha mitusi wewe Mmwela. Mbona Wamwela wenzio wastaarabu na wanajiheshimu! Wewe Mmwera wa wapi. Wa kuchonga nini. Na familia yako wakiona mitusi hiyo watakuheshimu kweli au watakudharau!!!
 
Wewe acha uchumia tumbo humu ndani, kama umetumwa waambie hao walokutuma kuwa hatudanganyiki, wanapoteza fedha zao bure, naona ulizaliwa kwa makusudi lakini unaishi kwa bahati mbaya.

Wewe uliyeanzisha hii mada ndo umetumwa kumfunga mdomo Fr.Mapunda! Mimi nimezaliwa kwa bahati nzuri na ninaishi kwa makusudi ya Mungu aliyehai ndani yangu! ndio maana sina matusi kama wewe ulivyo na mungu wa matusi! nakushahuri tena jitahidi kuwa mvumilivu kwa watu wengine utaishi kwa furaha zaidi ya hapo utakuwa upande wa pili yaani ya kzazi cha nyoka! Ukatubu!!
 
Ndugu kweli una macho lakini huoni. Haya yote hukuona point. Hata point mbaya hukuiona. Ulitaka kuona mtoa mada akikusifia ndo ungesema hiyo point ukacheka hadi mapengo yako yote yakaonekana!:lol:

Hayo ndiyo maoni yangu kama ulivyotoa maoni yako.
 
Hayo ndiyo maoni yangu kama ulivyotoa maoni yako.
Unajua maana ya magobe kwanza hilo jina umejiita tu lakn ungekua maana yake usingeweka, magobe maana yake NYANI kumbe tunabishana na manyani humu ndani, kumbe ndo maana umekuwa mhumu kuelewa eenh
 
Inaonekana huyo padri ni hawala yako eeeenh ama mmeo! Maana unamtetea mchumia tumbo huyo as if ni baba yako au aliwahi kuoa kwenu eeenh? Hana jipya tutamuanika uchafu wake kila kukicha ili aone kuwa watu wanamjua sana humu ndani aacha kupotosha umma kwa maneno ya uongo.

matusi ya nini sasa ?
 
Unajua maana ya magobe kwanza hilo jina umejiita tu lakn ungekua maana yake usingeweka, magobe maana yake NYANI kumbe tunabishana na manyani humu ndani, kumbe ndo maana umekuwa mhumu kuelewa eenh

Asante. Hayo ni maoni yako pia na uone cha ajabu mtu mwenye akili nzuri kama wewe kujadiliana na nyani! Ukipata jibu nani kati ya nyani na wewe ambaye yuko juu ya mwingine kiakili utajifunza kutumia lugha ya staha.
 
Back
Top Bottom