Padre Jean Baptiste Mapunda si ulifukuzwa Zambia wewe katika shirika lako la missionaries ofAfrica?

Padre Jean Baptiste Mapunda si ulifukuzwa Zambia wewe katika shirika lako la missionaries ofAfrica?

Ushauri wa bure kwa mh.padre mapunda na genge lako achana kabisa na huu utaratibu wa kuandika makala zenye lengo la kuleta mgawanyiko hapa tanzania ili hali ww unaishi sijui ghana mara somalia,coz hueleweki

Ndg...kwanini unadhani MAKALA ndio zinaleta migawanyiko kwenye Jamii Badala hawa watu wanaopenda kujiita viongoz wetu wanaofilisi Nch kisha kutuambia hawajui kwanini Nch ni maskini....
 
kwa hiyo wewe usisahau kunichukia kwenu MTU akiwa mlevi halafu akaacha hataruhusuwa tens kusema ukweli hata kama kauona?
hiyo dini yenu ni mpya na MNA kazi kuitangaza.
 
Ndg...kwanini unadhani MAKALA ndio zinaleta migawanyiko kwenye Jamii Badala hawa watu wanaopenda kujiita viongoz wetu wanaofilisi Nch kisha kutuambia hawajui kwanini Nch ni maskini....

Heee wewe si unajua ukiuliza swali atleast una nusu ya jibu, hebu nieleze na wewe kwa mtazamo wako unaona nini kabla ya kukimbilia kuomba msaada kwetu wana JF!
 
Back
Top Bottom