Padre Jean Baptiste Mapunda si ulifukuzwa Zambia wewe katika shirika lako la missionaries ofAfrica?

Padre Jean Baptiste Mapunda si ulifukuzwa Zambia wewe katika shirika lako la missionaries ofAfrica?

Inaonekana huyo padri ni hawala yako eeeenh ama mmeo! Maana unamtetea mchumia tumbo huyo as if ni baba yako au aliwahi kuoa kwenu eeenh? Hana jipya tutamuanika uchafu wake kila kukicha ili aone kuwa watu wanamjua sana humu ndani aacha kupotosha umma kwa maneno ya uongo.

Mambo ya uhawala umeyakazania sana1 Tukueleweje, why rush to uhawala and not other areas of social life. Unaujuaje uhawala!
 
Magaidi wako kazini wakimponda Father Mapunda, kwa kulitetea taifa la Tanzania lisiangamie mikononi mwa mauaji na mafisadi.
 
Acha majungu mleta hoja,jibu hoja zake na wala siyo kumshambulia kwa kutuletea habari zisizo na msingi.Big up sana Fr.Mapunda
 
Inaonekana huyo padri ni hawala yako eeeenh ama mmeo! Maana unamtetea mchumia tumbo huyo as if ni baba yako au aliwahi kuoa kwenu eeenh? Hana jipya tutamuanika uchafu wake kila kukicha ili aone kuwa watu wanamjua sana humu ndani aacha kupotosha umma kwa maneno ya uongo.
Kama una uhakika kwamba ana ID humu JF, muite aje alitetee, vinginevyo usishangae kuona watu wengine wanajibu hoja zako kwa niaba yake. Au ulitaka uwe unaandika tu na kujijibu peke yako, mawazo ya upande wa pili hutaki yaonekane?
 
Mtamchafua sana kwa kuwa ni msema ukweli. Lakini ukweli utasimama tu.

Mghosi
 
Mtu anajiita magobe ?du kweli wafuasi wa padre mapunda mmefulia hadi kujiita nyani,naona na mawazo yako kama jina lako,du ndg jitoe huko kwenye chama cha padre mapunda,unaelekea shimoni...... Hujui padre wako anakupeleka kwenye maangamizi?
 
Hivi ndio kipindi kile tulisikia karudishwa nyumbani kisa ulevi,huyu padre mapunda noma,kwa ulevi alitisha acha mengine tunamezea hatusemi
 
Makala zinazotokana na athari za pombe,ndio hizi za mheshimiwa padre mapunda
 
Hivi kweli huyu padre mapunda anayeandika makala za uchochezi ni padre au ni ......... Napata mashaka na genge la wale wanajitahidi kumtetea mtu anayetaka kuleta mgawanyiko,nani aliyewaloga?au mnatumiwa dola na huyo padre? Njaa zenu zisitupeleke kwenye maafa,akha tuacheni watanzania tunapenda amani,hatuko tayari kusoma hizo makala za mh.mapundaambazo ni sehemu ya matokeo ya kileo alichokuwa anatumia padre mapunda.
 
Ushauri wa bure kwa mh.padre mapunda na genge lako achana kabisa na huu utaratibu wa kuandika makala zenye lengo la kuleta mgawanyiko hapa tanzania ili hali ww unaishi sijui ghana mara somalia,coz hueleweki
 
Ushauri wa bure kwa mh.padre mapunda na genge lako achana kabisa na huu utaratibu wa kuandika makala zenye lengo la kuleta mgawanyiko hapa tanzania ili hali ww unaishi sijui ghana mara somalia,coz hueleweki

Hebu leteni walau hata makala moja ya Fr Mapunda na mseme hapa kawagawa Watanzania na hapa kakosea kuliko kuongea tu in thin air. Tunataka ushahidi na siyo mbwembwe za matusi na character assassination. Things should be accepted or believed on their weight of evidence and not propaganda.
 
Hebu leteni walau hata makala moja ya Fr Mapunda na mseme hapa kawagawa Watanzania na hapa kakosea kuliko kuongea tu in thin air. Tunataka ushahidi na siyo mbwembwe za matusi na character assassination. Things should be accepted or believed on their weight of evidence and not propaganda.

HAko ni kakitengo rasmi ka kumnyamazisha Fr.Mapunda kalikoanzishwa!! Hii ni aibu kubwa! hawa wabwana mdogo vihela vya kuvizia vimewamaliza akili kabisa! Kwao huyu Fr. Mapunda amekuwa akiponda utaratibu wa katiba ya nyoka wa makengeza sasa kwa kuwa hivi vinashiba mlo wa siku moja basi taabu tu!
 
HAko ni kakitengo rasmi ka kumnyamazisha Fr.Mapunda kalikoanzishwa!! Hii ni aibu kubwa! hawa wabwana mdogo vihela vya kuvizia vimewamaliza akili kabisa! Kwao huyu Fr. Mapunda amekuwa akiponda utaratibu wa katiba ya nyoka wa makengeza sasa kwa kuwa hivi vinashiba mlo wa siku moja basi taabu tu!
Wewe na ukoo wenu ndo mnashibia mlo mmoja tena mlo wenyewe wa maembe. Nyambavfuuu mkubwa weee
 
Wewe na ukoo wenu ndo mnashibia mlo mmoja tena mlo wenyewe wa maembe. Nyambavfuuu mkubwa weee

Matusi hayatakusaidia sana sana huko ni dalili za kushidwa na kukosa weredi wa mambo!! humu ndani ya JF naona sasa tutakuwa tunajibishana na wakuu wa kipepo!
 
Back
Top Bottom