Li ngunda ngali
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 707
- 2,572
Katibu wa Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoriki Tanzania Daktari wa Falsafa na Padre ndugu Kitima amesema si haki na ni udhalilishaji wa wazi wanafanyiwa Wamasai wa NGORONGORO kwa kunyimwa haki zao.
"....leo hii tunapozungumza ndugu zetu Wamasai wa kule NGORONGORO wanatuma ujumbe mbaya wenye twasira hasi Kimataifa. Unapowaeleza ni hiari yao kubaki NGORONGORO halafu ukiwanyima haki zao za msingi huo ni ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu! Jiulize kwa walichokifanya leo huko Duniani waelevu wanatufikiriaje!?" Amehoji Kiongozi huyo mtendaji wa TEC.
Chanzo: Jambo TV
Pia soma:Kuelekea 2025 - Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe
"....leo hii tunapozungumza ndugu zetu Wamasai wa kule NGORONGORO wanatuma ujumbe mbaya wenye twasira hasi Kimataifa. Unapowaeleza ni hiari yao kubaki NGORONGORO halafu ukiwanyima haki zao za msingi huo ni ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu! Jiulize kwa walichokifanya leo huko Duniani waelevu wanatufikiriaje!?" Amehoji Kiongozi huyo mtendaji wa TEC.
Chanzo: Jambo TV
Pia soma:Kuelekea 2025 - Wamasai Ngorongoro wamechoka kunyang’anywa ardhi yao na kupewa Mwarabu, Wameamua liwalo na liwe