Padre Kitima: Suala la kuminywa haki za Wamasai wa Ngorongoro si sahihi

Padre Kitima: Suala la kuminywa haki za Wamasai wa Ngorongoro si sahihi

Siku moja utaehuka; hupo mbali sana na hatua hiyo baada ya kuwa mlevi wa siku nyingi.
Hiyo 'anthropology' ndiyo iliyo kudidimiza kabisa, halafu utamlaumu Nyerere juu ya hilo pia!
Bandari ya Ngorongoro imeshachukuliwa au bado?

Vipi DP World na Aidan, mnyukano unaendaje bandari ya jiji la gharama Darisalama?
 
Bandari ya Ngorongoro imeshachukuliwa au bado?

Vipi DP World na Aidan, mnyukano unaendaje bandari ya jiji la gharama Darisalama?
Unatafuta nianze kuigiza ulevi ili tuelewane vizurihapa, na sifa hiyo haipo mbali sana.
 
Unatafuta nianze kuigiza ulevi ili tuelewane vizurihapa, na sifa hiyo haipo mbali sana.
Nasikia bandari ya Kilimanjaro tayari, kibindoni, nani vile aliyeuziwa? TEC haiwahusu au kule kwa walutheri, hawana habari nako?
 
TEC hawana jipya, walikula za uso siku ya kusaini mkatsba na DP World, bado inawauma ile.

Umesahau?

Muunguja majibu yake ni vitendo tu.
Babu yako alishirikiana na Ti Tipu kuuza watumwa kwa waarabu kupitia Zanzibar na Bagamoyo, utakuwaje na uchungu wa kuuza ardhi na mali za Tanganyika. Udhalimu wenu upo kwenye mifupa yenu na bone marrow
 
Nasikia bandari ya Kilimanjaro tayari, kibindoni, nani vile aliyeuziwa? TEC haiwahusu au kule kwa walutheri, hawana habari nako?
Hivyo ni vielelezo vizuri vya uhalifu wakati mahsusi utakapo wadia.
 
Jana Padre Kitima alinukuliwa na chombo fulani cha habari akitoa kauli kuhusu kile kinachoendelea Ngorongoro.

Kitima ambaye anafahamika kwa ukada wake ndani ya CHADEMA alisema ni wakati kwa Watanzania kukemea vitendo alivyodai viovu vinavyofanyika nchini.

Cha kustaajabisha Kitima ambaye ni kiongozi wa dini tulitegemea kabla ya kuzungumza kile cha Ngorongoro angeanza kukemea na maovu haya yaliyofanywa na Mapadre wenzake.

1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino, Padri Charles Kitima hajamuona ila anaona Wamasai Ngorongoro.

2. Padri Bunda anaibia masista raia wa hispania kisha kwenda kufungua baa na vituo vya kamari. Padri Charles Kitima haoni ya kukemea katika hayo, anaona Wamasai wa Ngorongoro tu walio-printiwa Mabango nchini Kenya.

3. Padri Stanslaus Sala wa Jimbo la Moshi kalawiti, yeye hajamuona ila anaona nchi imekuwa mbaya kuishi.

Huu upofu wako mtumishi wa kanisa ni wa asili, ukubwani, wa kuamua au wa kulipwa?
 

Attachments

  • IMG-20240820-WA0019.jpg
    IMG-20240820-WA0019.jpg
    26.2 KB · Views: 3
Jana Padre Kitima alinukuliwa na chombo fulani cha habari akitoa kauli kuhusu kile kinachoendelea Ngorongoro.

Kitima ambaye anafahamika kwa ukada wake ndani ya CHADEMA alisema ni wakati kwa Watanzania kukemea vitendo alivyodai viovu vinavyofanyika nchini.

Cha kustaajabisha Kitima ambaye ni kiongozi wa dini tulitegemea kabla ya kuzungumza kile cha Ngorongoro angeanza kukemea na maovu haya yaliyofanywa na Mapadre wenzake.

1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino, Padri Charles Kitima hajamuona ila anaona Wamasai Ngorongoro.

2. Padri Bunda anaibia masista raia wa hispania kisha kwenda kufungua baa na vituo vya kamari. Padri Charles Kitima haoni ya kukemea katika hayo, anaona Wamasai wa Ngorongoro tu walio-printiwa Mabango nchini Kenya.

3. Padri Stanslaus Sala wa Jimbo la Moshi kalawiti, yeye hajamuona ila anaona nchi imekuwa mbaya kuishi.

Huu upofu wako mtumishi wa kanisa ni wa asili, ukubwani, wa kuamua au wa kulipwa?
Kada wa CHADEMA!(?)Namba ya kadi yake tuwekee hapa ili mjadala uwe bora zaidi.🤔
 
Jana Padre Kitima alinukuliwa na chombo fulani cha habari akitoa kauli kuhusu kile kinachoendelea Ngorongoro.

Kitima ambaye anafahamika kwa ukada wake ndani ya CHADEMA alisema ni wakati kwa Watanzania kukemea vitendo alivyodai viovu vinavyofanyika nchini.

Cha kustaajabisha Kitima ambaye ni kiongozi wa dini tulitegemea kabla ya kuzungumza kile cha Ngorongoro angeanza kukemea na maovu haya yaliyofanywa na Mapadre wenzake.

1. Padri Elipidius Rwegoshora wa Bukoba kashiriki kumuua Albino, Padri Charles Kitima hajamuona ila anaona Wamasai Ngorongoro.

2. Padri Bunda anaibia masista raia wa hispania kisha kwenda kufungua baa na vituo vya kamari. Padri Charles Kitima haoni ya kukemea katika hayo, anaona Wamasai wa Ngorongoro tu walio-printiwa Mabango nchini Kenya.

3. Padri Stanslaus Sala wa Jimbo la Moshi kalawiti, yeye hajamuona ila anaona nchi imekuwa mbaya kuishi.

Huu upofu wako mtumishi wa kanisa ni wa asili, ukubwani, wa kuamua au wa kulipwa?
Nani amewapa taarifa hii maana wewe na mapessa mmechapisha! Mnaishi chumba kimoja?
 
Kanisa sio chama cha siasa.

Hii kazi ya kuiwajibisha serikali tufanye sisi wananchi sio makanisa wala misikiti kazi zao sio harakati za siasa.

Ni mbaya dini zikitawala siasa za nchi.
Mkuu wao sio wananchi? Mkuu achana na fikra za kipuuzi, kujiona wewe tu ndio mwananchi.
 
Back
Top Bottom