Padre Kitima: Tanzania kinachosumbua ni utashi wa watu kuongozwa na sheria

Padre Kitima: Tanzania kinachosumbua ni utashi wa watu kuongozwa na sheria

Kwa uelewa wako, nia ya kuongozwa na sheria ina maanisha nini?. Huwezi kusema kwamba wananchi hawana nia ya kuongozwa na sheria kwasababu Tanzania kuna vyombo vya usalama ambavyo vinatakiwa kuhakikisha kwamba wananchi wote wanatii sheria hizi.
 
Kwa uelewa wako, nia ya kuongozwa na sheria ina maanisha nini?. Huwezi kusema kwamba wananchi hawana nia ya kuongozwa na sheria kwasababu Tanzania kuna vyombo vya usalama ambavyo vinatakiwa kuhakikisha kwamba wananchi wote wanatii sheria hizi.
Sheria zipo lakini zipo kwaajili ya maslahi ya waliopo madarakani ndio maana wanazipindisha na kujitungia za kuwapa kinga kila siku. Uwajibikaji hakuna kama mtu tu hawezi kuwa responsible kwa mali za umma huyo hata sheria anaweza kupindisha zimfae atakavyo.
 
Inatakiwa hiyo Katiba Mpya ikipatikana iwabane wale wasiotaka kuifuata, nao wajue watabanwa na Katiba husika, kuanzia hapo ndio tutaanza kutembea njia moja inayofanana.

Huwa naona kinachofanya hili jambo lionekane kuwa gumu, ni pale ambapo utakuta viongozi fulani hawawajibiki kwa makosa wanayofanya wakiwa kwenye utawala, kinga ya kutoshtakiwa ndio chanzo cha viongozi kuvunja sheria makusudi.

Ikishaondolewa hiyo kinga kwao, wote tukawa sawa chini ya sheria, hayupo atakayemletea ujuaji mwenzake kwasababu ya nafasi anayoshikilia kisiasa, tutaanza kuheshimiana, baada ya hapo ndio sheria zitaanza kufuatwa bila shuruti.
 
Nipo hapa...

Ndio maana mimi ni miongoni mwa WAPINGAJI KATIBA MPYA kwa kuisimamisha misuli ya shingo kwa "mbango" mpaka kichwa kinaniuma....

Si vijiwe vya kahawa....ninaipinga katiba mpya.....

Si mabanda ya wanzuki na komoni....ninaipinga katiba mpya...

KATIBA ILIYOPO NI NZURI NA IENDELEE TU...

Kinachohitajika tu ni UTASHI WA USIMAMIZI WA KATIBA.....

#SiempreJMT[emoji120]
 
Nipo hapa...

Ndio maana mimi ni miongoni mwa WAPINGAJI KATIBA MPYA kwa kuisimamisha misuli ya shingo kwa "mbango" mpaka kichwa kinaniuma....

Si vijiwe vya kahawa....ninaipinga katiba mpya.....

Si mabanda ya wanzuki na komoni....ninaipinga katiba mpya...

KATIBA ILIYOPO NI NZURI NA IENDELEE TU...

Kinachohitajika tu ni UTASHI WA USIMAMIZI WA KATIBA.....

#SiempreJMT[emoji120]
Wewe unaipinga kwa lengo tofauti kabisa. Wewe ni chawa wa majizi
 
Inatakiwa hiyo Katiba Mpya ikipatikana iwabane wale wasiotaka kuifuata, nao wajue watabanwa na Katiba husika, kuanzia hapo ndio tutaanza kutembea njia moja inayofanana.

Huwa naona kinachofanya hili jambo lionekane kuwa gumu, ni pale ambapo utakuta viongozi fulani hawawajibiki kwa makosa wanayofanya wakiwa kwenye utawala, kinga ya kutoshtakiwa ndio chanzo cha viongozi kuvunja sheria makusudi.

Ikishaondolewa hiyo kinga kwao, wote tukawa sawa chini ya sheria, hayupo atakayemletea ujuaji mwenzake kwasababu ya nafasi anayoshikilia kisiasa, tutaanza kuheshimiana, baada ya hapo ndio sheria zitaanza kufuatwa bila shuruti.
Katiba ifute kabisa huyu Rais Mfalme! akishafutwa huyo, basi sheria zitafuatwa. mfano as long as IGP hateuliwi na Rais, na hivyo kujihakikishia usalama wa nafasi yake, anaweza kukataa maagizxo ya Rais...nafasi zote ziende katika mtindo huo ire Judges, and other executive officers. Sheria zitafuatwa. Rais apewe nafasi ndogo ya kumwingilia executive officer

Pili wagombea binafsi wawepo , wabunge wasitegemee hisani ya vyama, and therefero hapatakuwa na machawa
 
Katiba ifute kabisa huyu Rais Mfalme! akishafutwa huyo, basi sheria zitafuatwa. mfano as long as IGP hateuliwi na Rais, na hivyo kujihakikishia usalama wa nafasi yake, anaweza kukataa maagizxo ya Rais...nafasi zote ziende katika mtindo huo ire Judges, and other executive officers. Sheria zitafuatwa. Rais apewe nafasi ndogo ya kumwingilia executive officer

Pili wagombea binafsi wawepo , wabunge wasitegemee hisani ya vyama, and therefero hapatakuwa na machawa
CCM hawatakubali sababu wanajua wizi utaisha
 
Kwa uelewa wako, nia ya kuongozwa na sheria ina maanisha nini?. Huwezi kusema kwamba wananchi hawana nia ya kuongozwa na sheria kwasababu Tanzania kuna vyombo vya usalama ambavyo vinatakiwa kuhakikisha kwamba wananchi wote wanatii sheria hizi.
Huwezi kumwelewa Fr hata kidogo bro. Unahitaji intellectual humility, but with dry intellectualism or fanaticism you cannot. Fr anaongelea tendency ambayo wengi wetu tunayo - kutaka shortcuts (bila kufuata utaratibu).

Hebu angalia magari 'yanayochepuka' asubuhi ni ya aina gani, nenda kwenye barabara za magari ya mwendo kasi.

Just observe aina ya vyombo vingine vya moto vinavyotumia hizo barabara na ujiulize kama kuna always justification ya kufanya hivyo.

Tendency ya aina hii ndiyo anayoiongelea na kwamba katika mazingira haya hata ungekuwa na katiba bora bado inakuwa haisaidii kitu kwa sababu watu hawana utamaduni wa kufuata au kuheshimu sheria.

Si unakumbuka polisi huwa wanatukumbusha kila mara 'kutii sheria bila shuruti'?

Kwani unadhani ni kwa nini wanasema hivyo kama generally tuna tendency ya kufuata sheria? Unakumbuka pia malalamiko kwamba watu wanabambikiwa kesi...Hivyo, kuna mambo mengi ambayo yanaonyesha inabidi tujifunze kujirekebisha kama tunataka tufaidike na katiba bora tunayoitaka.
 
Kwa uelewa wako, nia ya kuongozwa na sheria ina maanisha nini?. Huwezi kusema kwamba wananchi hawana nia ya kuongozwa na sheria kwasababu Tanzania kuna vyombo vya usalama ambavyo vinatakiwa kuhakikisha kwamba wananchi wote wanatii sheria hizi.
Sasa mbona katiba inavunjwa na huku hayo makorokocho uliyoyataja yapo?
 
Wewe unaipinga kwa lengo tofauti kabisa. Wewe ni chawa wa majizi
Si kweli...

Wewe huoni ile katiba ya Jaji Warioba ingefungua mlango wa ushoga hapa Tanzania ?!!!

Katiba ya Warioba ilikuwa inakwenda kuvunja Muungano...

Katiba ya Warioba inampunguzia rais madaraka...hii inafungua wigo wa kuangushana utawalani na kusababisha mataifa kutotawalika na kukosa utulivu....

Mkuu nimekuibia kitu chako kipi ?!!!
 
Kwa uelewa wako, nia ya kuongozwa na sheria ina maanisha nini?. Huwezi kusema kwamba wananchi hawana nia ya kuongozwa na sheria kwasababu Tanzania kuna vyombo vya usalama ambavyo vinatakiwa kuhakikisha kwamba wananchi wote wanatii sheria hizi.

Hauna akili
 
Kwa uelewa wako, nia ya kuongozwa na sheria ina maanisha nini?. Huwezi kusema kwamba wananchi hawana nia ya kuongozwa na sheria kwasababu Tanzania kuna vyombo vya usalama ambavyo vinatakiwa kuhakikisha kwamba wananchi wote wanatii sheria hizi.
Hivyo vyombo vya usalama ndio sehemu ya uvunjwaji wa sheria. Mifumo ya kutofuata sheria ilianza kidogo kidogo kadiri CCM ilivyokuwa inalazimisha kukaa madarakani kwa shuruti. Matokeo yake hivi Sasa hasa viongozi wanatii sheria tu zisiziwabana. Mwenendo huo mbovu wa viongozi kutotii sheria, umepelekea hadi mahakama kuogopa kutoa maamuzi kwa kujibu wa sheria, bali kuendana na utashi wa viongozi. Sasa hivi amri toka juu ina nguvu kuliko sheria na katiba.
 
Yule mzee alipoenda Uingereza kudai uhuru, wazungu walimwambia kuwa nyie watu weusi hamko tayari kujitawala.
Wazungu wakamwambia, tumejaribu kuwapa weusi vyeo vya unyapara, waliishia kuvitumia kujichumia, kugonga wake za wenzao na kunyanyasa wafanyakazi.
Tukiwapa madaraka kamili si mtamalizana!
Yule mzee akasema tupewe uhuru 'ivyo ivyo'.
Sasa tangu tupate uhuru nchi ikaingia kwenye recession kwa takrabini miaka 20.
Mwaka 63 ivi tulikuwa na uchumi sawa na nchi nyingi za ki asia. Zenyewe zikakua kiuchumi, sisi tukaendelea kudidimia kutokana na kutokuwa na uelekeo sahihi. Hapo ndipo wenzetu walipotupigia bao.
 
Mm sikubaliani na padre Kitime, kwasabb msingi wa nchi kuwa na katiba ni kuiondoa dhana ya viongozi kuendesha nchi kwa utashi na matakwa yao.

Katiba bora haitoi mwanya wa kiongozi kuamua kuiheshimu ana kutokuiheshimu kwa utashi wake. Katiba bora huwa Ina wivu sana. Hivyo humuadhibu yeyote anayekwenda kinyume nayo.

Katiba bora hujenga mihimili imara isiyooneana aibu ktk kushughulikiana. Na mihimili hiyo imara haitegemeani na haina muingiliano wowote
 
Kwa uelewa wako, nia ya kuongozwa na sheria ina maanisha nini?. Huwezi kusema kwamba wananchi hawana nia ya kuongozwa na sheria kwasababu Tanzania kuna vyombo vya usalama ambavyo vinatakiwa kuhakikisha kwamba wananchi wote wanatii sheria hizi.
Sasa kwa nini katiba imekuwa ikivunjwa na hakuna chochote?
 
Back
Top Bottom