Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 2,209
- 4,769
Asante mkuu Sexless kwa maoni mazuriMm sikubaliani na padre Kitime, kwasabb msingi wa nchi kuwa na katiba ni kuiondoa dhana ya viongozi kuendesha nchi kwa utashi na matakwa yao.
Katiba bora haitoi mwanya wa kiongozi kuamua kuiheshimu ana kutokuiheshimu kwa utashi wake. Katiba bora huwa Ina wivu sana. Hivyo humuadhibu yeyote anayekwenda kinyume nayo.
Katiba bora hujenga mihimili imara isiyooneana aibu ktk kushughulikiana. Na mihimili hiyo imara haitegemeani na haina muingiliano wowote
Mimi nami nakubaliana na wewe kwa kutokukubaliana
Unadhani ni kwa nini katiba imekuwa ikivunjwa na hakuna chochote kile cha kufanywa hao watu?