Padre Kitima: Tanzania kinachosumbua ni utashi wa watu kuongozwa na sheria

Asante mkuu Sexless kwa maoni mazuri

Mimi nami nakubaliana na wewe kwa kutokukubaliana

Unadhani ni kwa nini katiba imekuwa ikivunjwa na hakuna chochote kile cha kufanywa hao watu?
 
Sasa kwa nini katiba imekuwa ikivunjwa na hakuna chochote?
Ni kwasabb katiba ni mbovu. Rais yuko juu ya sheria (na anateua viongozi wengi sana), Na hao wateule wake wanakuwa juu ya sheria pia, maana ili uwawajibishe lazima rais mwenyewe aridhie.

Ndiyo maana viongozi wanavunja katiba lkn inakuwa ngumu kuwawajibisha..
 
Wee ni mbogamboga usiejitambua bora etwege!!
 
Hata tukawa na katiba bora kabisa , kama hakuna utashi wa kuongozwa na sheria ni Bure!

Kumbe huyu ni mbobezi wa Constitutional Law!

Msikilize
Wachache ndio watamuelewa Kitima, utashi wa kuongozwa na sheria haupo kwa sababu ya mfumo!! Mfumo hauheshimu katiba. Mfano ni hii katiba iliyopo tu wanaivunja na kuikanyagakanyaga!!
 
Huwa namshangaa mtu anapoona eti Katiba mpya bora sio muhimu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Hata Mwalimu Nyerere alisema hii katiba imempa madaraka makubwa sana Rais wa Nchi kuliko mihimili mingine yooote !!
Kwahiyo kama Padre Kitima anaona Katiba sio sababu ya matatizo tuliyonayo basi hakuna haki ya kulalamikia jambo lolote lililofanyiwa maamuzi na wenye kufanya maamuzi kwa sababu wanafanya maamuzi kwa mujibu wa sheria zinavyowaongoza na kwa mujibu wa Katiba ambayo ndio sheria mama !!
Conflict of interest πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚. ?
 
Kwa uelewa wako, nia ya kuongozwa na sheria ina maanisha nini?. Huwezi kusema kwamba wananchi hawana nia ya kuongozwa na sheria kwasababu Tanzania kuna vyombo vya usalama ambavyo vinatakiwa kuhakikisha kwamba wananchi wote wanatii sheria hizi.
kwa kawaida sheria ina maana kwa wenye utashi wa kuitii,otherways ni gazeti la wiki iliyopita tu.

maana ya father hapo juu,ni mfano pale tunapopiga kelele za katiba mpya wakati hata hii iliyopo wandewa wanaichambia mara kadhaa.
 
bado father ni akili kubwa.

hiyo hiyo iliyompa mamlaka makubwa rais lakini bado kuna muda inaonekana hayamtoshi madaraka hayo.vipi yakipunguzwa!!ni mara ngapi ataivunja hiyo katiba???
 
Nadhani Fr. Kitima anaongea katika Muktadha wa dini, kuheshimu "AMRI" za Mungu kwa utashi.... KITU AMBACHO HAKIPO KWA MWANADAMU (au kama kipo ni wachache ).
Ukimwondolea rais kuteua govn officials, Rais hatakuwa dictator! ataheshimi katiba

How do you do it kumwondolea ufalme?
1. Kuwe na wagombea huru kwa urais, ubunge etc etc
2. CJ agombee na wenzake (kama ilivyo kenya)
3. IGP agombee
4. Futa wakuu wa mikoa, wilaya (au wachaguliwe na wananchi na kuondolewa na wananchi...wapigiwe kura na wananchi)
5. DED wagombee
6 Gavana wa Benki Kuu , mameneja wa makampuni ua umma ( na vyeo vikuvwa kama hivyo wagombee)
 
bado father ni akili kubwa.

hiyo hiyo iliyompa mamlaka makubwa rais lakini bado kuna muda inaonekana hayamtoshi madaraka hayo.vipi yakipunguzwa!!ni mara ngapi ataivunja hiyo katiba???
Watu wengi hawaitaki au hawaipiganii Katiba mpya bora kwa sababu nimegundua wengine ni wanufaika wa hii katiba kwa namna moja au nyingine πŸ˜…πŸ˜…πŸ™πŸ™

Kwahiyo hapo kuna ile kitu inaitwa Conflict of interest πŸ˜…πŸ™πŸ™
Na mara nyingi wenye Akili kubwa ndio huwa wahusika wakuu !!
Ndio maana huwezi kuwasikia wakidai Katiba mpya !!πŸ™πŸ™πŸ™
 
Watu wengi hawaitaki au hawaipiganii Katiba mpya bora kwa sababu nimegundua wengine ni wanufaika wa hii katiba kwa namna moja au nyingine πŸ˜…πŸ˜…πŸ™πŸ™
sijui wewe unapata imani kiasi gani kwamba katiba mpya itaheshimiwa.
Kwahiyo hapo kuna ile kitu inaitwa Conflict of interest πŸ˜…πŸ™πŸ™
Na mara nyingi wenye Akili kubwa ndio huwa wahusika wakuu !!
Ndio maana huwezi kuwasikia wakidai Katiba mpya !!πŸ™πŸ™πŸ™
binafsi sioni hata haja ya katiba mpya sababu iliyopo inapuuzwa pia.
 
Na
huo ndio ukweli wenyewe!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…