Padre Kitima: Uchaguzi wa Tanzania hauna sifa ya huru

Padre Kitima: Uchaguzi wa Tanzania hauna sifa ya huru

Kitima ndio mwanaume pekee hapa Tanzania, wengine ni wavaa suruali tu.

Kipindi cha Corona alimchana mtukufu kutoka CHATO kuwa utasemaje Corona haipo wakati sisi tunazika mapadri na masista kila siku?!
Sasa mbona hakuuliwa au kutekwa?
 
Tanzania Kwa kivuli Cha utajiri, Sheria, Dola na mamlaka iko chini watu ambao ni mamluki ambao asili yao si Tanzania na agenda zao za Tanzania kuwa shamba la kuvuna na kitu chochote kizuri kisiwepo maana kitaharibu agenda zao.
 
Sudan, Egypt, Zimbabwe nk watu walitawaliwa kimabavu kama sisi, na wapambe wa serikali hizo walikuwa wanasema kama ww kuwa ni nani wakuanzisha machafuko, ili ilipotokea hawakuamini.
Sijasema machafuko hayawezi kutokea bali nimeuliza ni nani wa kuanzisha machafuko? Ni swali jepesi tu ikiwa tumeona machafuko ndio suluhisho la kufanikisha tunalolitaka je ni nani wa kuanzisha hayo machafuko?
 
👇😁😁😁


 
Kwani akina Iddy Amini waliua watu wote?
Issue sio kuuwa watu wote bali ni kwamba inasemwa kuwa enzi za Magufuli kulikuwa hakuna amani na uhuru wa kukosoa kwamba watu waliyokosoa walitekwa na kuuliwa, tukawa tunaambiwa hadi zile maiti za kwenye viroba ambazo japo haikuwa ikijulikana waliyouliwa ni akina nani ila ilikuwa inasemwa kuwa ni wakosoaji wa serikali ya Magufuli na kwamba watu waliogopa kukosoa.

Katika mazingira kama hayo ya kwamba hata wasiojulikana tu walishughlikiwa kwa kukosoa sasa tunapoona wanaojulikana wanakosoa tena waziwazi lazima tuulize imekuaje ni kwamba Magufuli aliogopa kumshughlikia huyo Padri au alimuacha tu?
 
Issue sio kuuwa watu wote bali ni kwamba inasemwa kuwa enzi za Magufuli kulikuwa hakuna amani na uhuru wa kukosoa kwamba watu waliyokosoa walitekwa na kuuliwa, tukawa tunaambiwa hadi zile maiti za kwenye viroba ambazo japo haikuwa ikijulikana waliyouliwa ni akina nani ila ilikuwa inasemwa kuwa ni wakosoaji wa serikali ya Magufuli na kwamba watu waliogopa kukosoa.

Katika mazingira kama hayo ya kwamba hata wasiojulikana tu walishughlikiwa kwa kukosoa sasa tunapoona wanaojulikana wanakosoa tena waziwazi lazima tuulize imekuaje ni kwamba Magufuli aliogopa kumshughlikia huyo Padri au alimuacha tu?

Magufuli alishapata stahiki yake kwa maovu yake ya kuua watu tumuache.
 
Sijasema machafuko hayawezi kutokea bali nimeuliza ni nani wa kuanzisha machafuko? Ni swali jepesi tu ikiwa tumeona machafuko ndio suluhisho la kufanikisha tunalolitaka je ni nani wa kuanzisha hayo machafuko?

Raia wenye hasira kali.
 
Back
Top Bottom