Niko jirani na kanisa. Leo kuna misiba miwili, imeingia hapa kanisani. Sijui chanzo cha kifo ila kinachonisikitisha waumini hawavai barakoa na wamejaa kweli kweli! Sasa kanisa di lilitoa waraka kuhusu Corona?!Kuna kwown cases na ni nyingi kuliko magonjwa mengine. Hii ya leo ni confirmed na yuko hospital wiki plus or so. Hivyo siyo kila jambo ni kupinga. Aliyeleta hii allert ni ndugu yake wa damu. Inauma unapoteza ndugu wawili wa damu within a week kwa ugonjwa unaofichwa na kubadilisha majina. Sad Tanzanians.
Tatizo kubwa tuliaminishwa vingine hivyo hofu watu hawana kabisa. Familia ikishatingishwa ndiyo wanakimbilia Barakoa.Niko jirani na kanisa. Leo kuna misiba miwili, imeingia hapa kanisani. Sijui chanzo cha kifo ila kinachonisikitisha waumini hawavai barakoa na wamejaa kweli kweli! Sasa kanisa di lilitoa waraka kuhusu Corona?!
Majina ya Tanga hayo hakutakalika sasa hivi ndugu watakuwa kwa waganga wa kienyejiWiki iliyopita tulimzika Kaka yake Stephen Ignas Shewiyo alikua mfanyakazi wa TCAA Kwa corona tena alifariki KCMC. Leo tena Paul ameenda?! Halafu kuna mashetani yanasema hakuna Corona.
Kumbe huyo padiri hajafa!! Jf wampe ban mleta uziUnalipwa pesa ngapi kusambaza uzushi?
Acha tu, ujinga umetamalaki sana ndugu yangu. inauma.Hakika huwa hatumuombei binadamu mabaya ila ninakuombea Mungu Corona ikupitie na kizazi chako choye. Watu wanakufa unaleta mchezo? Huyu padre kaka yake alifariki yeye akiwa amelazwa Bochi Hospital anahangaikia uhai. Yaani Nina hasira mno na post kama hizi. Watu tumeumizwa tunaugulia mioyoni.
Unafikiri ni nini hiyo.Ndio nini hii
Inasikitisha sana kuchanganya sayansi na siasa au ushirikina.Tatizo kubwa tuliaminishwa vingine hivyo hofu watu hawana kabisa. Familia ikishatingishwa ndiyo wanakimbilia Barakoa.
Ndugu yake alifariki siku chache zilizopitaPadri Shewiyo alikua kanisa ka Msimbazi. Amefariki mchana huu hapa Bochi Hospitali .
====
View attachment 1695049
TANZIA: Mkuu wa Shirika la Ndugu Wafransisko Wakapuchini Tanzania, Padre, Kalist Tesha, anatangaza kifo cha Padre Paul Ignas Shewiyo, kilichotokea Alhamisi ya tarehe 04/02/2021 majira ya saa nane na nusu mchana. Mipango ya Mazishi inaendelea.
Habari ziwafikie:.
1. Ndugu Wafransisko Wakapuchini popote walipo
2. Askofu Mkuu Yuda Thaddaeus Ruwaichi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Maaskofu, Mapadre, Watawa wa kike na Kiume na Waumini wote
3. Ndugu wa Marehemu wa Padre Paul Ignas Shewiyo, Jamaa na Marafiki popote walipo.
Raha ya Milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani Amina.
Huu ugonjwa mbona umekuwa balaa sasa. Huyu ni padre wa ngapi kufariki ndani ya miezi hii ya tishio la Corona?
Stephen Shewiyo amezikwa jana Jumatano 3rd February 2021. Huyu padre ni mdogo wake wa damu na wote ni changamoto ya upumuaji. Huyo anayedanganya watanzania kuwa hakuna Corona bali ni Pneumonia ninaomba hiyo Pneumonia impate yeye na kizazi chake na asibakie hata mmoja. Leo hii kwenye makundi niliyopo ni msiba mingi na yote ni Pneumonia maana wanaogopa kutaja Corona. Mtu kama kwako hujapigwa na Corona bado kaa kimya. Corona ipo kwa Wingi mno. Wanaugua wanapona na wengine wanakufa. Tusimkebehi Mungu kwa maneno ya uongo ya kutunga. Tanzania siyo Makao Mkuu ya Mungu.
Tuwaambie watanzania ukweli na kweli itatuweka huru. Watu wanakufa wengine wanaponea chupuchupu.
Apumzike Kwa AMANIPadri Shewiyo alikua kanisa ka Msimbazi. Amefariki mchana huu hapa Bochi Hospitali .
====
View attachment 1695049
TANZIA: Mkuu wa Shirika la Ndugu Wafransisko Wakapuchini Tanzania, Padre, Kalist Tesha, anatangaza kifo cha Padre Paul Ignas Shewiyo, kilichotokea Alhamisi ya tarehe 04/02/2021 majira ya saa nane na nusu mchana. Mipango ya Mazishi inaendelea.
Habari ziwafikie:.
1. Ndugu Wafransisko Wakapuchini popote walipo
2. Askofu Mkuu Yuda Thaddaeus Ruwaichi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Maaskofu, Mapadre, Watawa wa kike na Kiume na Waumini wote
3. Ndugu wa Marehemu wa Padre Paul Ignas Shewiyo, Jamaa na Marafiki popote walipo.
Raha ya Milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani Amina.
Dua la kuku!!Corona corona, unapotutembelea usisite kupiga hodi pale Magogoni ya Dodoma, ukifanya hivyo utakuwa umetenda haki
Na bado mwaka huuDua la kuku!!
Pole sana kwa msiba. Ulijuaje kama ni Korona? Ulimpima?Nini Corona nimekua nae hospital tangu jana. Ni Ndugu yangu wa damu. Nasema CORONA NARUDIA CORONA.
Najua hata Maaskofu hawatasema nasema tena ni corona imemchukua Ndugu yangu.
Kwanini wafe wwngi kiasi hiki kipindi hiki.??AJABU SANA NAOMBA KUJUZWA HIVI MTU YEYOTE ANAYEFARIKI KATIKA NYAKATI HIZI CHANZO CHA KIFO CHAKE HUWA NI KORONA NAOMBA TUJUZANE HILI KWANZA LINANITATIZA SANA
Ndiyo walimzika jana 4th Feb. Wakiwa mazikoni ndiyo taarifa ya Fr kufariki ikatumwa. Antony Shewiyo (Teye) ni ukoo mmoja huo baba wakubwa na wadogo.Na advocate Anthony shewiyo nae last week
Askofu yeyote atasema ni corona kama imethibitika ila kama ni type ya akina gwa jiii au nabii tito watasema changamoto ya upumuajiNini Corona nimekua nae hospital tangu jana. Ni Ndugu yangu wa damu. Nasema CORONA NARUDIA CORONA.
Najua hata Maaskofu hawatasema nasema tena ni corona imemchukua Ndugu yangu.