TANZIA Padre Paul Ignas Shewiyo wa Kanisa la Msimbazi afariki Dunia

TANZIA Padre Paul Ignas Shewiyo wa Kanisa la Msimbazi afariki Dunia

Padri Shewiyo alikua kanisa ka Msimbazi. Amefariki mchana huu hapa Bochi Hospitali .

====

View attachment 1695049

TANZIA: Mkuu wa Shirika la Ndugu Wafransisko Wakapuchini Tanzania, Padre, Kalist Tesha, anatangaza kifo cha Padre Paul Ignas Shewiyo, kilichotokea Alhamisi ya tarehe 04/02/2021 majira ya saa nane na nusu mchana. Mipango ya Mazishi inaendelea.

Habari ziwafikie:.
1. Ndugu Wafransisko Wakapuchini popote walipo
2. Askofu Mkuu Yuda Thaddaeus Ruwaichi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Maaskofu, Mapadre, Watawa wa kike na Kiume na Waumini wote
3. Ndugu wa Marehemu wa Padre Paul Ignas Shewiyo, Jamaa na Marafiki popote walipo.

Raha ya Milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani Amina.
So sad.
Hawa jamaa wanasomeshwa muda mrefu Sana.
 
AJABU SANA NAOMBA KUJUZWA HIVI MTU YEYOTE ANAYEFARIKI KATIKA NYAKATI HIZI CHANZO CHA KIFO CHAKE HUWA NI KORONA NAOMBA TUJUZANE HILI KWANZA LINANITATIZA SANA
Kabla ya corona vifo vilikuwa vingi kama sasa hivi?
 
Kwanini korona imeshamiri sasa kuliko kipindi cha nyuma. Najiuliza sana lakini sipati jibu. Na kitu gani ilipunguza wakati mtindo wa maisha ya watanzania haujabadilika . Nina maswali mengi ambayo nakosa majibu. Poleni sana kwa wafiwa wote . Na Mungu azilaze roho za marehemu mahali pema
Muwe mnasoma ili kupata maarifa. Haya magonjwa ya virus yanayoambukizwa kwa njia ya hewa siyo mara ya kwanza kuikumba dunia. Ukisoma historia kuhusu milipuko ya zamani utaona kuwa huwa kuna awamu. Inakuja awamu ya kwanza, hali inatulia kidogo inakuja awamu ya pili....nk. Na awamu ya pili inaweza kuwa kali kuliko ya kwanza. Watu wanapopiga kelele hatua za kisayansi zichukuliwe siyo wajinga. Kadiri virus wanavyoambukiza watu kitu kinachoitwa mutation kinatokea. Virus wanabadilika na wanaweza kuwa wakali kuliko wale wa awamu ya kwanza.
 
Padri Shewiyo alikua kanisa ka Msimbazi. Amefariki mchana huu hapa Bochi Hospitali .

====

View attachment 1695049

TANZIA: Mkuu wa Shirika la Ndugu Wafransisko Wakapuchini Tanzania, Padre, Kalist Tesha, anatangaza kifo cha Padre Paul Ignas Shewiyo, kilichotokea Alhamisi ya tarehe 04/02/2021 majira ya saa nane na nusu mchana. Mipango ya Mazishi inaendelea.

Habari ziwafikie:.
1. Ndugu Wafransisko Wakapuchini popote walipo
2. Askofu Mkuu Yuda Thaddaeus Ruwaichi wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Maaskofu, Mapadre, Watawa wa kike na Kiume na Waumini wote
3. Ndugu wa Marehemu wa Padre Paul Ignas Shewiyo, Jamaa na Marafiki popote walipo.

Raha ya Milele umpe ee Bwana na mwanga wa milele umuangazie apumzike kwa amani Amina.
Raha ya milele how
 
Haki ya Mungu maisha yamezidi kuwa. Mafupi zaidi
 
Ndiyo walimzika jana 4th Feb. Wakiwa mazikoni ndiyo taarifa ya Fr kufariki ikatumwa. Antony Shewiyo (Teye) ni ukoo mmoja huo baba wakubwa na wadogo.
coincidence ya kipekee kabisa mungu awalaze pema peponi
 
jiulize juu ya ulichoandika
Kwanini wafe wwngi kiasi hiki kipindi hiki.??

Ni lini umewahi kuona misiba ya mapadre, wachungaji, ma profesa na ma brigedia general mingi na imeongozana kiasi hiki.??

Hivi nyie mnatumia nini kufikiria.??
 
Jamaa mmoja anaita kifungo cha fikra, pia ina maana if wanakufa kwa corona basi familia zao zote watakuwa affected au! !!
AJABU SANA NAOMBA KUJUZWA HIVI MTU YEYOTE ANAYEFARIKI KATIKA NYAKATI HIZI CHANZO CHA KIFO CHAKE HUWA NI KORONA NAOMBA TUJUZANE HILI KWANZA LINANITATIZA SANA
 
Stephen Shewiyo amezikwa jana Jumatano 3rd February 2021. Huyu padre ni mdogo wake wa damu na wote ni changamoto ya upumuaji. Huyo anayedanganya watanzania kuwa hakuna Corona bali ni Pneumonia ninaomba hiyo Pneumonia impate yeye na kizazi chake na asibakie hata mmoja. Leo hii kwenye makundi niliyopo ni msiba mingi na yote ni Pneumonia maana wanaogopa kutaja Corona. Mtu kama kwako hujapigwa na Corona bado kaa kimya. Corona ipo kwa Wingi mno. Wanaugua wanapona na wengine wanakufa. Tusimkebehi Mungu kwa maneno ya uongo ya kutunga. Tanzania siyo Makao Mkuu ya Mungu.

Tuwaambie watanzania ukweli na kweli itatuweka huru. Watu wanakufa wengine wanaponea chupuchupu.
Alizikwa wapi mkuu?
 
Alizikwa wapi mkuu?
Huyo ndugu yao Stephen alizikwa kijijini kwao jirani na kijiji cha kwa wakwe zangu. Huyu padre atazikwa Jumanne 9th Feb ibada ya Misa ni Kanisa Katoliki Msimbazi na ninafikiri atazikwa hapo hapo Msimbazi. Sina hakika sana.
 
Huyo ndugu yao Stephen alizikwa kijijini kwao jirani na kijiji cha kwa wakwe zangu. Huyu padre atazikwa Jumanne 9th Feb ibada ya Misa ni Kanisa Katoliki Msimbazi na ninafikiri atazikwa hapo hapo Msimbazi. Sina hakika sana.
Moshi?
 
Nini Corona nimekua nae hospital tangu jana. Ni Ndugu yangu wa damu. Nasema CORONA NARUDIA CORONA.
Najua hata Maaskofu hawatasema nasema tena ni corona imemchukua Ndugu yangu.

Chukua tahadhari usisubiri tamko..
 
Back
Top Bottom