TANZIA Padre Plasidius Mtunguja (Baba Abate) OSB - Abasia ya Ndanda - Masasi afariki dunia

TANZIA Padre Plasidius Mtunguja (Baba Abate) OSB - Abasia ya Ndanda - Masasi afariki dunia

duh sasa hii balaaa - hii changamoto inatupukutisha tusipotumia akili ya mbayuwayu!!
 
Rip, tuendelee kuchukua tahadhaliView attachment 1716760
... quote ya huyo mwamba imetulia sana! Kizazi cha wenye akili nahisi kimepita; kimebaki kizazi cha i-Talk!

"In the End, we will remember not the words of our enemies, but the silence of friends"; Martin Luther King Jr.
 
Binaadamu watu ni wa Mungu,hata wwe ni wa Mungu!!


Watu wa Mungu, watumishi wa Mungu, watu waliojitolea maisha yao yote kufanya kazi ya Mungu na kwa kazi hiyo hulipwa.
 
Rest in Paradise Baba Abate. Mwendo umeumaliza.

Kanisa Katoliki na viongozi wengine wa dini simameni imara na waumini wenu. Wekeni taratibu mpya za mikusanyiko na mazishi. Tunapoteza mapadre na watawa. Ya Baba Abate imeniuma mno.

Pia mjitahidi kuchukua hatua mapema pale mmoja wenu anapoonesha dalili. Mlio mbali kimbizeni wagonjwa DSM au hospital za mikoa zenye huduma.

Ukiwahi stage 1 na 2 inatibika. Usikae isolation bila tiba sahihi ya hospital ukachanganya na hizo za asili.

Si wanasema kwenye 45 - 56°C Kirusi cha Corona kinayeyuka kirahisi tu na kwamba ndiyo maana nyungu ni mwisho wa matatizo?

Dkt. Akili huo si ndiyo ukweli wenyewe au hiyo ni janja ya nyani ya kutafutia mitano mingine kinyemela tu?
 
Rest in Paradise Baba Abate. Mwendo umeumaliza.

Kanisa Katoliki na viongozi wengine wa dini simameni imara na waumini wenu. Wekeni taratibu mpya za mikusanyiko na mazishi. Tunapoteza mapadre na watawa. Ya Baba Abate imeniuma mno.

Pia mjitahidi kuchukua hatua mapema pale mmoja wenu anapoonesha dalili. Mlio mbali kimbizeni wagonjwa DSM au hospital za mikoa zenye huduma.

Ukiwahi stage 1 na 2 inatibika. Usikae isolation bila tiba sahihi ya hospital ukachanganya na hizo za asili.
Hakika mtakufa-Yashike maneno hayo- mengine yote porojo
 
Back
Top Bottom