Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mungu kaamua kuwachukua watu wake kutoka kwenye dunia iliyojaa taabu na mateso. Wameenda paradisoWhy Watu hao wa Mungu wafe sana???[emoji24]
... quote ya huyo mwamba imetulia sana! Kizazi cha wenye akili nahisi kimepita; kimebaki kizazi cha i-Talk!Rip, tuendelee kuchukua tahadhaliView attachment 1716760
Vifo vipo kwa kila nafsi wala usijali! wwe subiri tu zamu yako ikifika na wwe utakua Mwendazake!!Na vifo
Binaadamu watu ni wa Mungu,hata wwe ni wa Mungu!!Why Watu hao wa Mungu wafe sana???[emoji24]
Mungu kaamua kuwachukua watu wake kutoka kwenye dunia iliyojaa taabu na mateso. Wameenda paradiso
Ni fikra tuNani kakuambia wameenda Paradiso.
Binaadamu watu ni wa Mungu,hata wwe ni wa Mungu!!
Ni fikra tu
Hakuna Moto weweNa Kwa fikra hiyohiyo pia wanaweza kuwemo motoni.
Rest in Paradise Baba Abate. Mwendo umeumaliza.
Kanisa Katoliki na viongozi wengine wa dini simameni imara na waumini wenu. Wekeni taratibu mpya za mikusanyiko na mazishi. Tunapoteza mapadre na watawa. Ya Baba Abate imeniuma mno.
Pia mjitahidi kuchukua hatua mapema pale mmoja wenu anapoonesha dalili. Mlio mbali kimbizeni wagonjwa DSM au hospital za mikoa zenye huduma.
Ukiwahi stage 1 na 2 inatibika. Usikae isolation bila tiba sahihi ya hospital ukachanganya na hizo za asili.
Hakuna Moto wewe
Mkuu umeuliza swali la kitoto sanaHivi maiti iliyoko ndani ya Jeneza inaambukizaji watu walioko nje, wabeba jeneza?
Ha haha Hilo pia linawezekanaHakuna paradiso wewe.
Umejibu kitoto zaidi😁Mkuu umeuliza swali la kitoto sana
Hakika mtakufa-Yashike maneno hayo- mengine yote porojoRest in Paradise Baba Abate. Mwendo umeumaliza.
Kanisa Katoliki na viongozi wengine wa dini simameni imara na waumini wenu. Wekeni taratibu mpya za mikusanyiko na mazishi. Tunapoteza mapadre na watawa. Ya Baba Abate imeniuma mno.
Pia mjitahidi kuchukua hatua mapema pale mmoja wenu anapoonesha dalili. Mlio mbali kimbizeni wagonjwa DSM au hospital za mikoa zenye huduma.
Ukiwahi stage 1 na 2 inatibika. Usikae isolation bila tiba sahihi ya hospital ukachanganya na hizo za asili.